• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKUU WA WILAYA YA RUANGWA AWA MGENI RASMI KATIKA SHUGHULI YA TATHIMINI NA KUHITIMISHA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WABOBEZI

Posted on: May 15th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe.Hassan Ngoma amekuwa mgeni rasmi katika shughuli ya tathimini na kuhitimisha kambi ya madaktari bingwa wabobezi usiku wa kuamkia leo Jumatano Mei 15, 2024 katika ukumbi wa Ruangwa Pride Hotel, na kumuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Faisal Said kusimamia ipasavyo na kuhakikisha dawa zilizotelewa na Amana Bank zinagaiwa bure kabisa kwa wagonjwa na zisiuzwe.


"Amana Bank wametupatia bure, kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye uhitaji, basi Mganga Mkuu kasimamie kuhakikisha dawa hizo zinatolewa kwa wagonjwa bure isiuzwe hata punje"


Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo usiku wa kuamkia leo Jumatano, Mei 15 2024 katika hafla ya tathimini na kuhitimisha kambi ya Madaktari bingwa wabobezi wa magonjwa ya binadamu iliyofanyika katika ukumbi wa Ruangwa Pride Hotel wilayani Ruangwa mkoani Lindi.


Kambi ya Madaktari bingwa wabobezi wa magonjwa ya binadamu imefanyika kwa siku 3 pekee ikianzia siku ya Jumapili tarehe 12 Mei na kutamatika Jumanne Mei 14, 2024 katika Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa na takribani wagonjwa 1580 wamepatiwa huduma ikiwa wagonjwa 24 wamefanyiwa huduma ya upasuaji.


Aidha Mhe. Ngoma amewashukuru Madaktari bingwa, Taasisi ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) pamoja na Amana Bank kwa huduma waliyoitoa kwa wananchi wa Ruangwa kwani jambo walilolifanya ni kubwa sana la kuokoa uhai wa wananchi tena bila malipo kwani kama wangeamua kutoza pesa wananchi ingewagharimu kutoa pesa nyingi sana kutokana na magonjwa waliyonayo.


Kwa upande wao Madaktari bingwa wakiongozwa na Dkt. Mohamed Mohamed wamemshukuru Mkuu wa Wilaya, Mganga Mkuu wa Wilaya, Taasisi ya JAI pamoja na Amana Bank kwa ushirikiano mzuri na ukarimu waliouonesha kwao katika kufanikisha zoezi la matibabu kwa wananchi wa Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa