• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKUU WA WILAYA YA RUANGWA ASHIRIKI KUPIGA KURA KITUO CHA RUTESCO

Posted on: October 29th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, ameshiriki kupiga kura leo 29 Oktoba 2025 katika Kituo cha RUTESCO, Jimbo la Ruangwa, akitimiza haki yake ya kikatiba katika uchaguzi wa Rais, Mbunge na Madiwani.


Mhe. Ngoma amefika kituoni mapema asubuhi, akiwa sambamba na wananchi wengine waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kupiga kura kwa amani na utulivu. Tendo hilo limeonyesha mfano wa uwajibikaji na uzalendo katika kushiriki mchakato wa kidemokrasia unaoendelea nchini kote.


Baada ya kupiga kura, Mhe. Ngoma amewahimiza wananchi wa Ruangwa kujitokeza kwa wingi kutekeleza haki yao ya kikatiba kwa utulivu na upendo. “Nawahimiza wananchi wote wa Ruangwa mjitokeze kwa wingi kupiga kura. Huu ni wakati wa kutumia haki yenu kikatiba kwa amani na utulivu. Tuchague viongozi tunaowaamini bila vurugu, maana uchaguzi ni sehemu ya kuamua mustakabali wa maendeleo ya taifa letu,” amesema.


Aidha, amewataka wananchi kudumisha hali ya amani na mshikamano katika kipindi chote cha uchaguzi, akisisitiza kuwa amani ni msingi wa maendeleo na kila mwananchi ana jukumu la kuilinda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA RUANGWA ASHIRIKI KUPIGA KURA KITUO CHA RUTESCO

    October 29, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO RUANGWA WAAPISHWA, MBESIGWE AWATAKA KUZINGATIA UADILIFU

    October 26, 2025
  • MAMENEJA NA WAHASIBU 130 WA RUNALI WAHITIMU MAFUNZO YA PAVU

    October 24, 2025
  • KILA LA HERI DARASA LA NNE

    October 21, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa