• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKUU WA WILAYA YA RUANGWA AONGOZA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Posted on: April 26th, 2024

Kilele cha Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano kimefana kwa uwepo wa matukio mbalimbali ambayo yametumbuizwa na wanafunzi, walimu, wananchi na wazee katika viwanja vya Wandorwa wilayani Ruangwa huku mgeni rasmi akiwa ni Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya.


Maadhimisho hayo yametamatishwa leo Aprili 26, 2024 ambapo Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma ametoa rai kwa wananchi kuendelea kushikamana, kuilinda amani ya nchi kwa maendeleo endelevu.


Aidha Mhe. Ngoma ametambua na kupongeza mafanikio makubwa katika sekta ya elimu, Afya, michezo na miundombinu yaliyofanyika ndani ya miaka 3 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ndani ya Wilaya ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.


Katika hatua nyingine, Wazee waliohudhuria sherehe hizo pia hawakusita kutoa ushuhuda wa umuhimu wa Muungano katika kudumisha amani na umoja wa Taifa akiwemo Mzee Juma Omary Namchapwile amesisitiza kwamba Muungano si kitu cha kufanyia mchezo, bali ni kiini cha amani ya Taifa.


“Leo hii tunaonekana tuna amani duniani ni kwa sababu tunaulinda vizuri Muungano huu hivyo asitokee mtu wa kutaka kuutenganisha ule udongo wa Tanganyika na Zanzibar uliochanganywa na hayati Mwl. Julius Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume ulikuwa na maana kubwa ya mtu atakayetaka kuuvunja Muungano huu basi aanze kwanza kuutafuta ule udogo na autenganishe" Amesema Mzee Namchapwile


Ni muhimu kukumbuka kwamba sherehe hizi hufanyika tarehe 26 mwezi wa 4 kila mwaka, huku zikikumbusha uzito na umuhimu wa Muungano ulioanzishwa na waasisi wa Mataifa haya mawili, hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na hayati Sheikh Abeid Aman Karume, kwa kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar na hatimaye kuunda jina Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa