• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKOA WA LINDI WAADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI KWA KISHINDO

Posted on: May 1st, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Liwale, Mhe. Goodluck Mlinga, ameongoza maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack. Maadhimisho haya yamefanyika leo, tarehe 1 Mei 2025, katika Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi.


Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Mlinga ameipongeza jamii ya wafanyakazi kwa mchango wao mkubwa katika maendeleo ya Mkoa wa Lindi na taifa kwa ujumla, amehimiza ushirikiano kati ya waajiri na wafanyakazi, akisisitiza kuwa mahusiano bora kazini ni msingi wa ufanisi na tija katika taasisi na mashirika.

Aidha, amewataka waajiri kuhakikisha mazingira salama na yenye staha kwa wafanyakazi, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda na kuheshimu haki za msingi za wafanyakazi kama sehemu ya ujenzi wa jamii yenye usawa na mshikamano.


Nitumie nafasi hii kuwapongeza wafanyakazi wote kwa kazi kubwa mnayoifanya kila siku katika kujenga taifa letu, ushirikiano kati ya waajiri na wafanyakazi ni msingi wa mafanikio ya kiuchumi na kijamii, Serikali itaendelea kusimamia haki za wafanyakazi na kuhakikisha mazingira bora ya kazi kwa wote.”amesema Mhe. Mlinga.

Shughuli hiyo imejumuisha maandamano ya amani, nyimbo za kuhamasisha mshikamano, pamoja na burudani mbalimbali zikilenga kukuza ari ya kufanya kazi kwa bidii, washiriki wameonesha mshikamano wa hali ya juu na utayari wa kuendelea kushiriki katika maendeleo ya Taifa.


Ikumbukwe, sherehe hizi huadhimishwa kila mwaka tarehe 1 Mei Duniani kote kwa lengo la kutambua mchango wa wafanyakazi katika ustawi wa jamii. Zilianza rasmi mwaka 1889 kufuatia azimio la Kongamano la Kimataifa la Kazi, na zimeendelea kuwa ishara ya mshikamano na mapambano ya kupigania haki za wafanyakazi.


Kauli mbiu ya mwaka huu ni: “Uchaguzi Mkuu 2025 Utuletee Viongozi Wanaojali Haki na Masilahi ya Wafanyakazi, Sote Tushiriki.”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa