• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mhe, Zambi Amewataka Afisa Elimu Sekondari na Msingi Kuwachukulie Hatua Waratibu Elimu Kata na Walimu Wasiotimiza Wajibu Wao

Posted on: August 31st, 2017

Mkuu wa Mkoa Godfrey Zambi amemtaka Afisa Elimu Msingi na Sekondari wa Wilaya Ya Ruangwa kuwachukulia hatua Waratibu elimu kata ambao awajatekeleza majukumu yao ya kwenda kukagua maandalio ya walimu katika shule zao husika.

Vilevile amewataka kuchukua hatua kwa walimu ambao awajaandaa maandalio hayo kama ambavyo muongozo wa masomo kwa muhula unavyomtaka.

Mkuu wa Mkoa aliyasema haya wakati wa ziara yake ya siku mbili ya kikazi aliyoifanya katika Wilaya ya Ruangwa ukiwa ni muendelezo wa ziara alizozifanya katika Wilaya zote zilizopo katika Mkoa wa Lindi.

Mhe, Zambi alitoa maagizo hayo baada ya Kaimu Afisa Elimu Mkoa kukagua maandalio ya walimu katika shule ya Sekondari Ruangwa. Mbekenyera na Shule ya Msingi Likangala na kugundua udhaifu wa walimu kutokuandaa maandalio kama wanavyotakiwa.

Pia aliwataka walimu wa darasa la saba na kidato cha nne kuongeza juhudi katika kufundisha somo la kingereza kwa muda huu uliobaki wa wanafunzi kujiandaa na mtihani kwani katika somo hilo wako nyuma sana.

“Nimepita katika shule tofauti tofauti udhaifu niliougundua kwa watoto wa darasa la saba na kidato cha nne ni somo la kingereza linawashinda  hivyo walimu mjitahidi sana katika kufundisha somo hili” alisema Mhe, Zambi.

Aidha Mhe, Zambi aliwausia wanafunzi kuacha kujiingiza katika masuala ya kimapenzi kwani umri wao bado mdogo na wanachotakiwa ni kusoma kwa bidii na si kuwazia mapenzi katika umri huo.

“Nyie bado ni watoto wadogo hayo mambo ya mapenzi mtayakuta wala msiyakimbili muda wenu ukifika mtayafanya mpaka mtachoka ila kwa kipindi hiki someni kwa bidii zote” alisema Mhe, Zambi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MPARA WAFANYA USAFI KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa