• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MHE. TELACK AKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU RUANGWA

Posted on: April 4th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali itakayopitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025 katika Wilaya ya Ruangwa, leo Aprili 4, 2025.


Miradi aliyotembelea ni pamoja na ujenzi wa barabara ya Mwilali yenye urefu wa mita 650, mradi wa dampo salama uliyopo Kijiji cha Lipande, vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja katika Shule ya Msingi Dodoma, mradi wa maji katika Kijiji cha Mpara kata ya Likunja, ujenzi wa kituo cha polisi Nandagala, ujenzi wa kituo cha afya Namakuku, na ujenzi wa shule ya sekondari ya Namakuku.


Katika ukaguzi huo, Mhe. Telack ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa maagizo ya kukamilishwa kwa miradi ambayo bado haijafikia asilimia 100 ya utekelezaji.


Aidha, amesisitiza kuwa utekelezaji wa miradi hiyo unapaswa kuendana na thamani ya fedha na kuzingatia muda uliopangwa, hasa ikizingatiwa kuwa ni miradi inayotarajiwa kukaguliwa na Mwenge wa Uhuru mnamo tarehe 28 Mei, 2025.


“Kasi ya ujenzi ni nzuri, lakini nataka kuona miradi yote imekamilika kwa viwango stahiki kabla ya ujio wa Mwenge,” amesema Mhe. Telack.


Ziara ya Mkuu wa Mkoa imekuwa na faida kubwa kwa kuwa imesaidia kufuatilia kwa karibu maendeleo ya miradi ya wananchi, kutoa maelekezo ya kuboresha utekelezaji, na kuhakikisha kuwa miradi hiyo itakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa, jambo ambalo litaongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa jamii na kukuza maendeleo ya Wilaya ya Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • KITOVU CHA HEWA TIBA KANDA YA KUSINI

    September 03, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA RUANGWA AZINDUA ZOEZI LA UCHANJAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    September 02, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII RUANGWA WASAINI MIKATABA KUANZA KAZI RASMI

    September 01, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI RUANGWA AMKABIDHI FOMU YA UTEUZI MGOMBEA WA CHAUMMA

    August 25, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa