• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mbao na mkaa endelevu ni rafiki wa misitu

Posted on: February 6th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Ndg. Andrea chikongwe ametoa shukurani kwa shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania(TFCG) na Mtandao wa jamii wa usimamizi wa misitu Tanzania (MJUMITA) kwa kuweza kutoa mafunzo ya uhifadhi wa misitu kupitia biashara endelevu za mazao ya Misitu katika kijiji cha Malolo.

Ametoa shukurani hizo wakati wa kikao kazi cha Ametoa shukurani hizo wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha wadau wa misitu kinachotarajiwa kufanyika kwa muda wa siku mbili  katika ukumbi wa mpigo NMB kuanzia tarehe 6/2/22)

Mheshimiwa Chikongwe aliseme Malolo imepata bahati ya kupata elimu ya utunzaji msitu kwa kufanya shughuli ya uchomaji mkaa na uvunaji mbao wa misitu endelevu.

Kupitia mpango huo kijiji hiko kinategemea kupata shilingi million... katika shughuli za uvunaji mbao na uchomaji mbao kwa kufuata utaratibu kwa mpango wa  utunzaji misitu.

"Natamani TFCG pamoja na MJUMITA kabla mradi huu aujaisha tuwe tumepata vijiji vingine vitakavyonufaika kama hiki cha Malolo uongozi utuangalie kwa jicho la karibu" amesema Chikongwe

Pia alisema Mashirika haya yamefanya jambo kubwa sana katika halmashauri ya wilaya ya ruangwa ambalo litasaidia kukuza uchumi wa kijiji na halmashauri.

"Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisiposhukuru tena MJUMITA NA TFCG imeleta jambo la maana sana katika wilaya yetu wanachotupatia ni bora zaidi kwani itakuwa ni elimu ya kurithishana" amesema Chikongwe

"Kijiji cha Ng'au na Malolo vilikuwa na mgogoro wa mipaka wa muda mrefu ambao ulionyesha dalili za usugu ila kupitia TFCG na MJUMITA wamemaliza mgogoro huo kabisa hii ni matunda ya mradi wa uhifadhi misitu wanaotupatia" amesema Chikongwe

Vile vile mheshimiwa Chikongwe aliwataka wafanyabiashara wa mazao ya misitu kufuata sheria katika kazi zao na kushirikiana ili kuhakikisha mapato ya vijiji husika na halmashauri hayapotei.

" Ni wajibu wa kila mtu kufuata sheria na kulinuda mapato ya halmashauri, twendeni tushirikiane ili tuweze kukusanya mapato ambayo yatawezesha na kusaidia kuongeza vijiji vingine katika mradi wa uhifadhi misitu, inawezekana tukawa na wilaya nzima iliyo katika mkakati wa kuhifadhi misitu. Mkaa endelevu rafiki wa msitu, mbao endelevu rafiki wa msitu" amesema Chikongwe.


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa