• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Marufuku kutumia ngariba asiye na kitambulisho cha mjasiliamali mdogo-DC Mgandilwa

Posted on: May 23rd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mhe. Ruangwa Hashim Mgandilwa amepiga marufuku wamiliki wa viwanja vya kucheza unyago kutumia Mangariba wasio na vitambulisho vya mjasiliamali mdogo.

Amesema hayo leo Mei 23/2019 wakati wa kikao cha mangariba, waganga wajadi na wamiliki wa viwanja vya kuchezea unyago kilichofanyika ukumbi wa CCM Ruangwa mjini.

Pia amewataka waganga wa jadi kuwa na kitambulisho cha mjasiliamali mdogo kama wanataka kuendelea kutoa tiba katika Wilaya ya Ruangwa.

Mheshimiwa Mgandilwa amewataka wamiliki wa viwanja kuzingatia ratiba ya kufunga na kufungua shule ili mtoto anaechezwa unyago asikose haki ya kupata elimu.

"Msitafute shida Halmashauri ikianza kutoa  vibali vya sherehe hizo nìtafuatilia kama umepokea watoto siku husika ya tarehe 8 mwezi wa 6 na kumaliza tarehe 6 mwezi wa  7 ikifika tarehe ya mwisho  watoto wote wawe wametoka"

Mkuu wa Wilaya amewataka kuhakikisha watoto wanapokuwa jandoni wanalazwa kwenye  chandarua kuepusha maradhi na kuzingatia usafi wa  maeneo ya viwanja.

"shughuli hizi zingatieni msingi ya afya kila mwenye kiwanja awe na uhakika na daktari ni vyema tukaangalia usalama wa watoto wetu" DC Mgandilwa

vile vile amewataka kuzingatia  mafunzo wanayotoa kwenye jando na unyago  yaendane na maadili ya kitanzania na umri wa watoto wanaopewa hayo mafunzo.

Mkuu wa Wilaya ya Mhe. Ruangwa Hashim Mgandilwa amepiga marufuku watu wenye viwanja vya kucheza unyago kutumia Mangariba wasio na vitambulisho vya mjasiliamali mdogo

Amesema hayo leo Mei 23/2019 wakati wa kikao cha mangariba, waganga wajadi na wamiliki viwanja vya kuchezea unyago kilichofanyika ukumbi wa CCM Ruangwa mjini.

Pia amewataka waganga wa jadi kuwa na kitambulisho cha mjasiliamali mdogo kama wanataka kuendelea kutoa tiba katika Wilaya ya Ruangwa.

Mheshimiwa Mgandilwa amewataka wamiliki wa viwanja kuzingatia ratiba ya kufunga na kufungua shule ili mtoto anaechezwa unyago asikose haki ya kupata elimu.

"Msitafute shida Halmashauri ikianza kutoa  vibali vya sherehe hizo nìtafuatilia kama umepokea watoto siku husika ya tarehe 8 mwezi wa 6 na kumaliza tarehe 6 mwezi wa  7 ikifika tarehe ya mwisho  watoto wote wawe wametoka"

Mkuu wa Wilaya amewataka kuhakikisha watoto wanapokuwa jandoni wanalazwa kwenye chandalua kuepusha maradhi na kuzingatia usafi wa  maeneo ya viwanja.

"shughuli hizi zingatieni msingi ya afya kila mwenye kiwanja awe na uhakika na daktari ni vyema tukaangalia usalama wa watoto wetu" DC Mgandilwa

vile vile amewataka kuzingatia  mafunzo wanayotoa kwenye jando na unyago  yaendane na maadili ya kitanzania na umri wa watoto wanaopewa hayo mafunzo.

Pia alisema watazingatia sheria zilizoweka na watakumbushana pale mmoja wao anapotaka kuvunja makubaliano hayo.

MWISHO


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa