• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Majeshi yasaidie kutoa maarifa ya uzalishaji kwa jamii inayowazunguka.

Posted on: August 9th, 2017

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene ameyataka majeshi yote nchini kusambaza maarifa ya kilimo bora kwa jamii inayowazunguka. amesema huu ni muda muafaka kwani taifa linapopanga kupiga hatua kuelekea Uchumi wa viwanda ni budi kuhakikisha jamii nzima inashirikishwa kwa kupata maarifa ya teknolojia mpya.

Mheshimiwa Simbachawene ameyasema hayo wakati akifungua maonesho ya Nanenane Kitaifa yaliyofanyika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi leo. Amesema taifa linapokuwa halipo vitani, inatarajiwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kuwekeza katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali na hata kuisadia jamii kufikia malengo. Badala ya hali kuwa hivyo badala yake imekuwa ni jambo la kawaida kwa maeneo ya Jeshi kuwa na uzalishaji wenye tija kwa mazao ya aina mbalimbali lakini jamii inayowazunguka ikiwa duni.

Amesema jambo hili halikubaliki na kwamba jeshi la wananchi linatakuwa kuwa rafiki wa jamii inayowazunguka. Liweke miundmombinu na mkakati imara wa kuhakiksiha jamii inaiga na kuzalisha kama wao wanavyozalsiha na kwamba hilo si suala la kusubiri jamii iwafuate bali mipango ya jeshi ielekeze huko.

Mheshimiwa Simbachawene ambaye aliridhishwa na ubora wa mabanda ya maonesho ya jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) kwa jinsi walivyopiga hatua kubwa katika uzalishaji amesema hilo ni jambo la kujivunia na kwamba haya yote yanatokana na nidhamu kubwa ya na uamuzi wa dhati wa kuwekeza katika masuala hayo lakini haikubaliki katika jamii iwapo uwezo huo unaishia kwa jeshi tu wakati jamii inayozunguka wanaishi kwa shida na hawana maarifa yoyote ya uzalishaji.

Awali akielezea uzalishaji uliowekezwa na jeshi hilo, Luteni kanali Peter Lushika wa Suma JKT amesema Jeshi limejipanga na limekuwa likitengeneza bidhaa mbalimbali zikiwemo nguo, viatu na mazao ya kilimo. Pia limekuwa likitoa mafunzo mbalimbali ya uzalishaji bora kwa vijana.

Ametoa wito kwa aserikali kuendelea na msisitizo wa kuwataka wananchi wa Tanzania kutumia na kupenda bidhaa za ndani ili kuinua wazalishaji wa ndani.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego amesema Jeshi la wananchi wa Tanzania Limejipanga lakini bado linapaswa kuhakikisha jamii inaondoa woga wa kupata maarifa kutoka kwa maaskari. Amesema zama za wananchi kuogopa maaskari zimekwisha hivyo jeshi lijipange lihakikishe liko karibu na wananchi. Liweke mazingira ambayo yatawafanya wananchi wawe huru kujifunza kutoka jeshini na hivyo kuwa na mabadiliko ya pamoja kimaendeleo.

Maonesho ya Wakulima Kitaifa maarufu kama Nanenane yamefunguliwa Leo katika viwanja vya Ngongo vilivyoko katika halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. KauliMbiu ya maonesho hayo mwaka huu ni “Zalisha kwa tija mazao ya Bidhaa za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili kufikia uchumi wa Kati.

Maonesho haya ya siku nane yanatarajiwa kufungwa Agosti nane ambapo Mgeni Rasmi natarajwia kuwa Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa