• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mahakama Mtandao Kurahisisha uendeshaji wa mashauri.

Posted on: February 2nd, 2022

Ikiwa ni katika kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria nchini yenye kauli mbiu zama za mapinduzi ya nne ya viwanda safari ya maboresho kuelekea mahakama mtandao Hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Ruangwa, Mh. Mariam Omary Machomba, amesema kuanzishwa kwa huduma hiyo kutasaidia kuharakisha kuamuliwa kwa mashauri mbalimbali na kusisitiza wananchi kushirikiana na mahakama kwa kutoa mrejesho kuhusu huduma mbali mbali zinazotolewa kupitia simu janja.

Akibainisha zaidi mbele ya wadau wa sheria na wananchi waliohudhuria hafla hiyo ya kilele cha siku ya sheria iliyofanyika kiwilaya katika viwanja vya mahakama ya wilaya, Mhe. Mariam ameeleza mahakama  mtandao itasaidia kuondoa wasi wasi ama hofu kwa wateja kwakuwa wanaweza kutoa taarifa zao za malalamiko  kwa njia ya simu nambari 0752 500 400 jambo litakalosaidia kufahamu taarifa za shauri la mteja husika bila kulazimika kuwepo mahakamani mara zote.

‘Sasa hivi malalamiko unapiga tu simu ukiwa huko huko kijijini kwako na lalamiko linapokelewa na kwenda moja kwa moja bila kuhofia kama Hakimu hatapokea na kufanyia kazi kwani kuna kitengo maalumu cha malalamiko watapokea simu hii na kufanyia kazi, alisema Mh. Mariam.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mhe. HASSAN NASOR NGOMA ametoa rai kwa watendaji wa mahakama kuhakikisha wanajiridhisha katika mfumo wa matumizi ya njia hiyo ya mtandao ili kuepuka changamoto mbali mbali za kimtandao ikiwa ni pamoja na kudukuliwa kwa taarifa nyeti, na kuwataka wahusika katika muhimili huo kuhakikisha wanatoa elimu ya kutosha kwa wananchi juu ya namna sahihi ya kutumia ikiwa ni pamoja na kuzingatia na ubora wa mitandao husika.

Wiki ya sheria nchini ilianza januari 23 mwaka huu ambapo maadhimisho yake yamefanyika Februari 2, mikoa na wilaya mbali mbali imeazimisha huku kitaifa ikifanyika katika viwanja vya chinangali park mkoani DODOMA

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa