• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MAFUNZO MAALUM YA TATHMINI NA UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA YAFANYIKA

Posted on: September 17th, 2024

Mafunzo maalum ya tathmini na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo yamefanyika leo, Septemba 17, 2024, katika Shule ya Sekondari Ruangwa yakihusisha Watendaji wa Kata zote 22 za Wilaya ya Ruangwa, mafunzo hayo yameandaliwa na Idara ya Mipango na Ufuatiliaji, yakilenga kuboresha ufanisi na uwajibikaji katika usimamizi wa miradi, sambamba na kuimarisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo Wilayani humo.


Katika mafunzo hayo, watendaji wa kata wamepatiwa mikataba inayowapa mamlaka ya kusimamia moja kwa moja miradi ya maendeleo ndani ya kata zao. Hatua hii imelenga kuhakikisha kuwa watendaji wanasimamia kwa ufanisi miradi yote inayotekelezwa na Serikali katika maeneo yao.


Aidha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ndugu Frank Chonya amehitimisha mafunzo hayo kwa kusisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya watendaji, akieleza kuwa mafunzo hayo yatakuwa msingi wa maendeleo endelevu, amehimiza watendaji kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi na uwajibikaji ili miradi yote itekelezwe vizuri kwa manufaa ya wananchi.


Sambamba na hayo, Wakuu wa Idara na Vitengo mbalimbali wametoa nasaha zao, wakiwapongeza watendaji kwa kujituma na kushirikiana. Wamesisitiza kuwa mafunzo kama hayo ni muhimu katika kuwaongezea ujuzi na maarifa ya kusimamia miradi kwa viwango vya hali ya juu.


Kwa upande wao , Watendaji wa Kata, wameonesha kuridhika na mafunzo hayo, wakieleza kuwa yamewapa ujuzi muhimu wa kusimamia miradi ya maendeleo. Wamesema, "Mafunzo haya yametupa uwezo wa kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati, na tupo tayari kushirikiana na viongozi wa Halmashauri ili kuleta maendeleo katika kata zetu." Amesema Mtendaji wa Kata ya Mbwemkuru


Katika hali ya sasa, semina kama hizi zimeimarisha uwezo wa watendaji wa kata katika kusimamia miradi ya maendeleo, tofauti na miaka ya nyuma ambapo ukosefu wa mafunzo kama haya ulisababisha changamoto nyingi. Ili kuona mafanikio endelevu, ni muhimu mafunzo ya mara kwa mara yaendelee kutolewa, huku ushirikiano kati ya watendaji na viongozi wa Halmashauri ukiimarishwa kwa ajili ya maendeleo ya baadaye ya Wilaya ya Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa