• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MADIWANI RUANGWA WATAKIWA KUANDAA MPANGO WA KULIPA MADENI

Posted on: September 29th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi amweataka madiwani wa Wilaya hiyo kuhakikisha wanatengeza mpango kazi na mikakati Madhubuti ya kulipa madeni mbali mbali inayodaiwa halmashauri hiyo ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi na kuharakisha shughuli za maendeleo.

Hatua hiyo inakuja kufuatia taarifa ya baraza la madiwani la hesabu za mwaka 2020/21 na 21/22 iliofanyika septemba 29, 2022 katika ukumbi wa mkuu wa wilaya, taarifa zilizonyesha kuwapo kwa madeni kadhaa inayodaiwa halmashauri hiyo na watumishi ambapo amesema kulipa kwa madeni hayo kutarahisisha shughuli za kimaendeleo Kwenda kwa kasi kutokana na watumishi hao kutokua na kinyongo na serikali yao.

“Maombi yangu ni kwamba Madiwani tutengeneza mpango wa namna ya kupunguza madeni ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi” alisema Ngoma.

Awali muweka hazina wa halamshauri Saidi Jabali alieleza kuwa kumekua na ufanisi katika matumizi sahihi ya fedha ikilinganishwa mwaka 2020/21 na 2021/22 kwaku katika mwaka 2021/22 pamokja na kuwa na kiasi kikubwa na miradi mingi lakini matumizi yamekua makubwa kama ilivyopaswa huku akiseama mwaka 20/21 palikua na pesa kidogo lakini bado haikutumika ipasavyo kiasi kupelekea kubaki kwa salio kubwa.

“ukilinganisha na mwaka jana utaona kwamba mwaka jana tulifunga hesabu kwa fedha taslimu Shilingi Bilioni mbili na milioni ishirini na nne, lakini mwaka huu tumefunga fedh Taslimu shilingi Bilioni moja na milioni mia tano kumi na sita, hii inamaanisha kuwa kuna ufanisi mkubwa wa matumizi ya fedha tumeongeza” alisema Saidi.

Kwaupande wake Prosper Roman ambae ni katibu tawala msaidizi mkoa wa Lindi nae alitumia wasaa wa kikao hicho kumuhimiza muweka hazina kuwahisha vitabu vya mahesabu kwa mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali ili kukamilisha ufungaji wa mahesabu hayo, huku baadhi ya madiwani wakiwamo Rajabu Macholilo na Daniel Chilemba wakieleza namna walivyoridhika na mwenendo wa matumizi na vipaumbele katika manedeleo ya Halmashauri hiyo kwa kueleza kuwa wanaona safari ya maendeleo ikikua kwa kasi kutokana na mpango sahihi wa matumizi ya fedha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa