• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Madiwani Ruangwa wamuagiza Mkurugenzi Mtendaji kununua vifungashio vya Korosho

Posted on: November 28th, 2019

Kutokana na kuongezeka changamoto ya vifungashio vya zao la korosho kwa wakulima kutokuwafikia kwa wakati jambo linalopelekea kuchelewa kwao kuzifikisha korosho katika magahala makuu ili kuuza, Baraza la madiwani Halmashaauri ya wilaya Ruangwa limemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo kuchukua hatua za kuhakikisha Halmashauri inanunua magunia.

Agizo hilo limetolewa leo tarehe 28/11/2019 wakati wa kikao cha baraza la robo kilichofanyika katika ukumbi wa Rutesco Ruangwa mjini.

Baraza hilo limemtaka Mkurugenzi kuwahi ununuzi wa magunia hayo ili kuwahi kunusuru korosho za wakulima ambazo zinaelezwa wenda zikapoteza ubora kutokana na kutunza katika maeneo yasio na sifa.


Wakichangia hoja baadhi ya madiwani wakiwa katika kikao hicho cha Baraza la Halmashauri ya Wilayani humo wamemtaka mwenyekiti wa Halmashauri hiyo kupitisha maamuzi ya kupata vifungashio ili kukomboa wakulima wa zao hilo kwani wananchi wengi wamekua wakilalamikia tatizo hilo.

“Tunakosa pakuwek sura zetu huko katika maeneo yetu wananchi awatuelewi kwasababu ya korosho zao kutokwenda katika ghala kubwa kwa kukosa vifungashio Mkurugenzi tunaamini agizo hili utakifanyia kazi kwa uharaka zaid”Diwani Chikongwe

Kwa upande wake Mwenyekiti wa halmashauri wilaya ya Ruangwa Rashidi Nakumbya  alimtaka aliitaka bodi inayoendesha ghala kuhakikisha kororsho zinatoka katika maghala ya vijiji na kufika katika ghala kubwa la mjini.

“Vifungashio vikifika katika maghala ya vijini hakikisheni korosho inakuja katika ghala kubwa kwa uharaka ili kuwahi minada inayofuata” Nakumbya

Inaelezwa katika wilaya ya Ruanagwa mategemeo ni kukusanya tan 13,000/= za korosho lakini mpaka sasa zimekusanywa tani 3,700 kutokana na uhaba wa magunia ya kufungashia korosho kutoka kwa wakulima na vyama vya msingi jambo linalohofiwa wenda likaleta hasara kubwa kwa wakulima na vyama vya msingi ikiwa ni pamoja na halmashauri kukosa mapato yake.


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa