• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA WAOKOA MAISHA YA MAMA MJAMZITO RUANGWA

Posted on: September 18th, 2024

Ujio wa Madaktari bingwa wa Mama Samia kwa awamu ya pili ya huduma zao umekuwa mkombozi mkubwa kwa wananchi wa Wilaya ya Ruangwa, huku tukio la kuokoa maisha ya mama mjamzito likitoa picha kamili ya umuhimu wa huduma hizo za kibingwa.


Jumanne, Septemba 17, 2024, madaktari hao wamefanikiwa kufanya upasuaji wa dharura katika Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa kwa mama aliyekuwa na mimba iliyotunga nje ya mji wa mimba. Hali hiyo ilimsababisha kutokwa na damu ndani kwa ndani, hali iliyohatarisha maisha yake, licha ya hali yake kuwa mbaya, upasuaji huo umefanywa kwa mafanikio makubwa, na hadi sasa mgonjwa huyo anaendelea vizuri.


Kwa upande wake, Mdogo wa mgonjwa huyo, Bi Maua Ally, ametoa shukrani zake kwa madaktari hao, akisema kwamba hali ya dada yake ilikuwa mbaya sana, lakini jitihada za haraka za madaktari zimeokoa maisha yake. "Tulikuwa tumeingiwa na hofu kubwa, lakini sasa tunashukuru, hali ya dada yangu inatia matumaini na tunawaombea madaktari kila la kheri," amesema Bi Maua kwa hisia.


Madaktari hao wa Mama Samia wapo katika Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa kwa muda wa siku sita, kuanzia Septemba 16 hadi Septemba 21, 2024. Lengo kuu la ujio wao ni kusogeza huduma za kibingwa na bobezi karibu na wananchi wa Ruangwa na maeneo jirani, huduma ambazo zimekuwa ngumu kupatikana kwa urahisi kwa jamii ya vijijini.


Kwa miaka mingi, wananchi wa Ruangwa walikumbana na changamoto za upatikanaji wa huduma za kibingwa, jambo ambalo liliwalazimu kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hizo. Hata hivyo, ujio wa madaktari hawa bingwa wa Mama Samia ni faraja na ni dalili njema kwa mustakabali wa afya za wananchi wa Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa