• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Likunja Sekondari yanufaika na agizo la Mheshimwa Rais

Posted on: October 16th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa ametekeleza agizo la Mheshimiwa Rias John Pombe Magufuli kwa vitendo alilomtaka kuhakikisha yanapatikana madawati ya kutosha kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Likunja iliopo wilaya humo mpaka kufika saa sita ya leo octoba 16.

Mheshimiwa Mgandilwa ametekeleza agizo hilo kufuatia ziara ya Mhe. Magufuli hapo jana alipotembelea Wilayani Ruangwa jana na kusimama katika kijiji cha likunja na kuzungumza na wanafunzi na kusikiiza kero zao ndipo wakataja upungufu wa madawati kwa kidato cha kwanza.

Mkuu wa Wilaya amekabidhi viti na madawati 100 kwa Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari Likunja leo tarehe 16/10/2019 Ruangwa mjini.

“Tushirikiane kujenga Ruangwa yetu kama kuna changamoto huko zileteni katika ofisi husika tuzifanyie kazi mapema kwa lengo la kuwa Na Ruangwa bora na isiyo na changamoto ndogo ndogo kama hizi za madawati” amesema Mgandilwa


Naye Afisa Elimu Sekondari Wilayani  humo Ernest Haule ameeleza kuhusu kuwapo kwa upungufu wa madawati kwa baadhi ya shule Wilayani humo huku akikiri kuwa upatikanaji wa madawati hayo ni msaada mkubwa kwa shule hiyo.

Ndg,Haule ailiishukuru ofisi ya Mkuu wa Wilaya kwa kuwapatia madawati hayo katika shule ya Sekondari Likunja kwasababu ilikuwa inauhitaji mkubwa wa madawati hasaa kwa kidato cha kwanza na pili ambao watakuwa wanufaika wa msaada 

Baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo ya Likunja wameeleza furaha yao ya kupatiwa madawati  hayo na kushukuru ofisi ya Mkuu wa Wilaya kwa kutimiza ahadi hiyo kwa wakati.



MWISHO

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MICHE BORA 175,701 YA KOROSHO KUWANUFAISHA WAKULIMA RUANGWA

    February 19, 2026
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YAGAWA KOMPUTA MPAKATO KWA MAAFISA MAENDELEO RUANGWA

    February 19, 2026
  • RUANGWA YATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 420 YA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI (10) KWA MAKUNDI MAALUM

    February 19, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa