• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kila mtumishi anahaki ya kutumia magari ya Halmashauri-Ded Chonya

Posted on: October 2nd, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ndg, Fabian Chonya amekabidhi magari manne kwa idara ya Mipango, Fedha, Elimu na Ujenzi.

Amekabidhi magari hayo  tarehe 02/10/2020 katika ofisi ya Mkurugenzi Ruangwa Mjini.

Mkurugenzi Chonya amewataka wakuu wa idara waliokabidhiwa magari hayo kuyatumia kusimamia shughuli za maendeleo zinazofanyika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Ruangwa.

“Afisa mipango gari hilo litumike katika kusimamia miradi tunayoitekeleza iliyo mjini Ruangwa na nje ya Ruangwa ninaimani mtalitumia katika kusimamia vizuri miradi hiyo” amesema Chonya

Aidha alisema ndg, Chonya kuwa gari hizo zisitumike tu na wakuu wa  idara au watu waliokabidhiwa pekee na kwamba mtumishi yoyote anayekwenda kutekeleza shughuli za kiofisi anapaswa kutumia gari hizo.

“Mtumishi yoyote unataka kwenda mjini kutekeleza shughuli ya kiofisi nenda kaombe gari kwa muhusika na ulitumie sitaki kuona unatumia pikipiki kutekeleza shughuli za kiofisi haya ni magari yenu wote” amesema Chonya

Vilevile Mkuu wa idara ya Elimu Msingi ndg, Suleimani Mrope amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji kwa kuwapatia magari hayo kwani yatarahisisha kufanya shughuli za elimu ambazo mwanzo zilikuwa ngumu kuzifikia kutokana na kukosekana usafiri.

Alisema Mwalimu Mrope kuwa amefanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa miaka 9 na hajawahi kutokea wakuu wa idara wakakabidhiwa magari na mkurugenzi mbele ya watumishi wote kama ilivyofanyika leo.

“Kwa hili Mkurugenzi nashukuru sana kwa niaba watumishi wa wote na niwatoe hofu watumishi wa chini yetu kuwa haya ni magari ni ya Halmashauri na si ya mtu binafsi au la idara fulani hivyo kama una kazi ya kiofisi usisite kuomba gari tutashirikiana katika kutekeleza shughuli za Halmashauri.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa