• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

KAWAIDA AWASIFU VIJANA WA CCM KWA NIDHAMU NA UZALENDO

Posted on: September 13th, 2024

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Komredi Mohammed Kawaida, ametoa wito kwa vyama vingine kuiga mfano wa vijana wa CCM kutokana na uadilifu, nidhamu, uchapa kazi, utii na uzalendo wanaoonesha, ameyasema hayo leo Septemba 13, 2024, wakati wa Tamasha la Vijana lijulikanalo kama "Hamasa Day," lililofanyika katika uwanja wa Maonesho ya Madini, Wilaya Ruangwa.


Katika hotuba yake, Komredi Kawaida amewapongeza wana Ruangwa kwa hamasa kubwa waliyoonesha katika tamasha hilo, akisema kuwa wananchi wa Ruangwa wamependezesha hafla hiyo kwa namna isiyokuwa ya kawaida. "Hakika Ruangwa mmetisha sana, hamasa yenu ni ya kipekee, ni jambo zuri mnapaswa kuigwa na maeneo mengine," amesema Kawaida.


Aidha, tamasha hilo limeambatana na ufunguzi wa matawi mawili ya vijana wa CCM katika maeneo ya Alaala na kwa Mtota, Wilaya ya Ruangwa,komredi Kawaida amesisitiza kuwa vijana wanapaswa kuendelea kushikamana kwa nguvu ili kuleta maendeleo endelevu na kufanikisha malengo ya Chama Cha Mapinduzi, akiongeza kuwa vijana ni nguvu ya taifa.


Kwa kutazama historia ya Umoja wa Vijana wa CCM, ambao ulianzishwa mnamo mwaka 1978 baada ya kuunganishwa kwa vyama vya vijana wa TANU na ASP, umoja huo umeendelea kuwa nguzo muhimu kwa maendeleo ya vijana nchini. Kwa sasa, UVCCM inabaki kuwa chombo cha kuimarisha uzalendo na uongozi miongoni mwa vijana, huku ikitarajiwa kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha vijana wanashiriki kikamilifu kwenye ujenzi wa taifa kwa miaka ijayo. Suluhisho likiwa ni vijana kuendelea kupewa fursa zaidi na kuendelezwa ili wawe viongozi bora wa kesho.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa