• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Katibu Tawala Msaidizi aitaka Halmashauri kukamilisha Miradi

Posted on: March 11th, 2019

Katibu Tawala  Msaidizi anayeshughulikia masuala ya Elimu Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ndg.  Vicent Kayombo ameitaka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa  kumaliza miradi yote ya shule shikizi kufikia tarehe 19/03/2019  pamoja na miradi yote ya maboma katika  shule za sekondari kufikia 19/04/2019 kwani shule hizo zimeishapokea fedha tangu tarehe 19 Februari 2019.

Ndg Kayombo ameyasema hayo siku ya tarehe 11/03/2019 wakati wa kikao kazi cha utekelekezaji  wa miradi ya Elimu kwa Walimu wakuu, Wakuu wa shule, Waratibu Elimu Kata, Watendaji wa Kata,  Wenyeviti wa Vijiji pamoja na baadhi ya  wataalamu wa Halmashauri.

Akiwa katika kikao hicho Ndg Kayombo  amewataka viongozi wote kutotumia fedha za miradi zinazoletwa kulipana posho, pamoja na kwenda kutimiza wajibu wao kwenye maeneo yao ili kukamilisha miradi hiyo kabla kabla ya kupita kukagua kwa awamu nyingine .

"Tusije kulaumiana nikikuta jambo kama hili sitoweza kulivumilia hizo ni fedha za ujenzi na zinakuja na maelekezo  yake maalum sasa mnaolipana posho kwa fedha hizo tusijekulaumiana"amesema Kayombo.

Vile vile amewataka viongozi wa Vijiji na kata kuwashirikisha Waheshimiwa Madiwani katika michakato ya ujenzi ili waweze kuwahamasisha wananchi kushiriki kujitolea kwani tunaelewa fedha zinazoletwa kwaajili ya ujenzi hazitoshi na ili zitoshe inapaswa wananchi wajitolee kwa nguvu kazi na fedha.

"Acheni majigambo na  kujidai nyie wakuu wa idara wasaidieni watu walio chini yenu ili kazi za Serikali ziwezi  kufanyika kama inavyoitajika toeni ushauri, maoni na maelekezo ili kazi ziende kwa uharaka" amesema kayombo.

Naye kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  Ndg, Selemani Mrope ametoa rai kwa wasimamizi wa miradi inayoendele katika kata au vijiji kuitumia ofisi ya Mkurugenzi kila wanapoitaji msaada.

" msisubiri mpaka mharibikiwe ndiyo mje ofisini watumieni wataalamu wa Halmashauri hatua kwa hatua ili kukamilisha shughuli hizo za ujenzi kwa muda muafaka"amesema Mrope


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa