• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI AFUNGA KIKAO CHA MKOA CHA UCHAMBUZI WA VIFO VYA WAKINA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO

Posted on: June 26th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary amefunga Kikao cha Mkoa cha uchambuzi wa vifo vya wakina mama wajawazito na watoto ( MPDSR) katika Wilaya ya Ruangwa.


Kikao kilianza kufanyika Juni 24, 2024 na kumalizika leo Juni 26, 2024 ambapo kimkoa kimefanyika katika Wilaya ya Ruangwa na kimefanyika katika ukumbi wa shule ya awali na msingi Wonder Kids.


Aidha, Bi. Zuwena amewataka Madaktari wa Mkoa wa Lindi kuunda kundi la madaktari bingwa katika ngazi ya Mkoa na Wilaya ili kutoa huduma ya afya kwa jamii katika maeneo mbalimbali.


Katika hatua nyingine, Bi. Zuwena amewaomba Wataalam wa afya kufanya kazi kwa moyo mkunjufu ili kuokoa uhai wa wagonjwa mbalimbali hususani wakinamama wajawazito na watoto.


Nae, Mganga mkuu wa Mkoa wa Lindi Dkt. Kheri Kagya ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa mapokezi na maandalizi mazuri ya Kikao hicho cha MPDSR.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • KITOVU CHA HEWA TIBA KANDA YA KUSINI

    September 03, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA RUANGWA AZINDUA ZOEZI LA UCHANJAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    September 02, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII RUANGWA WASAINI MIKATABA KUANZA KAZI RASMI

    September 01, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI RUANGWA AMKABIDHI FOMU YA UTEUZI MGOMBEA WA CHAUMMA

    August 25, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa