• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kampuni ya Sigara Tanzania yatoa msaada kwa watu wenye ulemavu ruangwa.

Posted on: December 15th, 2020

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Albert Mwombeki amepokea msaada wa vifaa vya walemavu kutoka katika Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC).

Amepokea vifaa hivyo tarehe 15/12/2020 katika ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa.

Ndg, Mwombeki amesema msaada huo utagawanywa kwa kufuata na taratibu utakaoandaliwa kwa kila kata utapata mgaowake.

Kaimu Mkurugenzi aliishukuru kampuni ya Sigara Tanzania kwa moyo waliyouonesha kuweza kuwasaidia walemavu wa Wilaya ya Ruangwa.

“Zipo wilaya nyingi hapa Tanzania ambazo mngeweza kupeleka misaada hii, ila mmeamua Kuitoa kwa wanaruangwa tunashukuru sana na tunawahakikishia kuigawa  kwa walengwa” amesema Mwombeki.

Naye Katibu wa chama cha chama cha walemavu Ruangwa (CHAWATA), ndg, Halfani Lilowa amesema amefurahi kupokea vifaa hivyo kwa hali ya uwazi ambapo wanufaika wameshirikishwa  kikamilifu katika zoezi la upokeaji

Aliipongeza Halmashauri kwa kusema imefanikisha jambo hilo  kwa utaratibu mzuri wa watu wenye ulemavu wa Ruangwa kuweza kishiriki kushuhudia utolewaji wa vifaa hivyo kwa walemavu  na kampuni ya Sigara Tanzania.


Aidha Ndg Liwowa alishukuru viongozi wa kampuni ya Sigara kwa kuona haja ya kuwasaidia watu wenye ulemavu Ruangwa.

Naye Afisa uhusiano wa Kampuni ya Sigara Tanzania ndg, Derick Stanley alieleza wametoa  msaada wa baiskeli 28, magongo jozi 50 na fimbo za wasioona 100. Nakwamba wanufaika na msaada huo katika wilaya ya Ruangwa ni watu wenye ulemavu 178 ambao wanatoka katika kata zote zilizopo ndani ya Ruangwa.


Alieleza kwamba Msaada huu umetoka katika mfuko wa Msaada kwa Jamii na nimuendelezo wa kampuni hiyo katika kurudisha faida kwa jamii.

MWISHO

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa