• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Hudhurieni mikutano kupata taarifa muhimu(mapato na matumizi)- DC Ruangwa

Posted on: October 11th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa ametumia mwanya wa wananchi kuchelewa mkutanoni ama kudharau mkutano wa hadhara kwa kuwatoza 5000 kwa kila mwananchi aliyekumbwa na kadhia hiyo na kuelekeza fedha hizo zipelekwe na kusaidia ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Chilangalile


Zoezi hilo limefanyika Oktoba  11 mwaka huu wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji vya Chilangalile, Makanjiro, Mbangara, Chikonole na Chikoko katika kata ya Makanjiro Wilayani Ruangwa.


" Haiwezekani Mkuu  wa Wilaya afike mkutanoni halafu wananchi anaowahudumia wakae majumbani ama kutohudhuria mkutano, hivyo basi ili kukomesha hali hii nakuagiza Mtendaji wa kijiji simamia zoezi la ukusanyaji fedha hizo na itumike kama nilivyoelekeza" Ameongeza Mgandilwa


Mgandilwa amesema kuwa wananchi hawawezi kupata taarifa za maendeleo ya maeneo yao ama kujua taarifa za mapato na matumizi ya serikali ya kijiji kwa kukaa majumbani na  kwani wanakosa haki ya kujua kila kinachojiri katika vijiji vyao.


Aidha amekemea vikali tabia hiyo na kusema kuwa isijirudie tena kwani si tabia nzuri na amewataka wananchi hao kuwa na tamaduni za kuhudhuria mikutano ya vijiji kwa wakati uliopangwa.


Mgandilwa amewasisitiza watendaji kutobadili matumizi ya pesa hizo kwa kulipana posho na kwamba kila mwananchi aliyetoa fedha hizo apatiwe risiti na kwamba yoyote atakayebainika kuhujumu fedha ya wananchi atamshughulikia.


Sambamba na hayo Mkuu wa Wilaya huyo amewataka wananchi ambao nyumba zao zimewekwa alama ya X kuanza kuzibomoa na kutii sheria bila shuruti ili kupisha ujenzi wa barabara ambazo ni chanzo kikubwa cha maendeleo.


"Kufuata sheria na taratibu ni wajibu wa kila mwananchi hivyo usisubiri kubomolewa msitafute kuitia lawama serikali nawakati taarifa mmepokea mapema " Amesisitiza Mgandilwa


Aidha amewataka wakandarasi wa TARURA wanaojenga na kukarabati barabara kuhakikisha zinakarabatiwa kwa hali ya juu ili kuwa na kiwango kizuri cha kupitika bila shida.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa