• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Hongera kikundi cha suti ruangwa- Mhe Silinde

Posted on: February 18th, 2021

Naibu Waziri Ofisi ya Rais  Tamisemi David Silinde amekipongeza Kikundi cha Suti Ruangwa kwa kurudisha mkopo wote waliokopa kupitia mfuko wa maendeleo wa wanawake, vijana na walemavu.

Ametoa pongezi hizo tarehe 18/02/2021 alipofanya ziara ya kikazi wilayani Ruangwa na kutembelea Shule ya Sekondari Liuguru , Kikundi cha Suti, shule mpya ya wasichana Ruangwa, Kituo cha Afya Nandagala, Shule mpya ya Sekondari Nandagala, shule ya sekondari Lucas Maria na shule ya sekondari Hawa Mchopa.

Kikundi hicho kinachojishughulisha na shughuli za ushonaji suti Ruangwa mjini kilipata mkopo wa milioni tatu kutoka mfuko wa maendeleo ya wanawake vijana na walemavu kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kikiwa na vijana kumi.

Mheshimiwa Silinde aliwataka vijana hao kutafuta eneo kubwa la kufanyia shughuli zao kwani wameshakua kibiashara hivyo wanapaswa wawe na kiwanda cha kufanyia kazi hizo.

Vile vile aliutaka uongozi wa Halmashauri kukipa kipaumbele kikundi hicho katika mikopo mingine kwa sababu ni waaminifu katika kufanya  marejesho.

" Serikali inataka kuona vikundi kama hivi vinavyojituma na vyenye uaminifu katika kufanya marejesho kwani wakikopeshwa wakarudisha wanatoa mwanya wa vikundi vingine kukopa tena", amesema Silinde.

Wakati huo huo alisifia ujenzi wa majengo na usimamizi wa  shule ya sekondari Lucas Malia na Kituo cha Afya Nandagala kutokana na kuwa na majengo yaliyojengwa kwa kufuata taratibu.

"Kituo cha Afya Nandagala kinapendeza sana majengo yaliyopungua ya famasi na wodi  tutaleta hela ili kukamilisha majengo hayo" amesema Silinde.


Mwisho.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa