• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Mkuu wa Wilaya Amewataka Wananchi Kuchukua Tahadhari kwa Kujenga Nyumba Zenye Uimara na Ubora

Posted on: April 5th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Joseph Mkirikiti amewataka wananchi wa Wilaya ya hiyo kujenga nyumba zenye ubora na uimara kwa kufuata taratibu za ujenzi.Pia amewataka mafundi  wanaojishughulisha na shughuli za ujenzi wa nyumba kutumia nafasi zao za kiufundi kuwashauri wateja wao viwango vya nyumba imara vinavyoitajika kabla ya kuanza ujenzi.

Ameyasema hayo wakati anaongea wa wahanga wa mafuriko katika kijiji cha Chinongwe kilichopo katika Wilaya ya Ruangwa, mafuriko hayo yametokea usiku wa kuamkia jana baada ya kunyesha mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali.

Mh Mkirikiti aliwapa pole waathirika wote waliokubwa na hali ya kuezuliwa nyumba zao na kuharibikiwa na mashamba ya majumbani na kuwataka kutokutaka tama na hali hiyo.Aidha Mkuu wa Wilaya aliwataka wananchi wa mji wa Ruangwa kuchukua tahadhari mapema kwani hali ya mvua iko maeneo yote hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kudhibiti eneo lake.

“Nimetembea katika nyumba zote zilizokubwa na upepo huo wa jana na nikagundua tatizo hatujengi nyumba zenye ubora na uimara kuanzia sasa viongozi wa kijiji waanze kusimamia masuala ya ujenzi wa nyumba zenye kiwango kunachotakiwa”alisema

Naye Afisa Kilimo aliwataka wananchi kukata mikorosho iliyokaribu na nyumba zao kwani inaweza kuleta madhara makubwa ikiendelea kuachwa, kwasababu mikorosho hiyo aijapandwa kufuata vipimo vinayoitajika.

“Shimo la Mkorosho linatakiwa kuwa na futi mbili ila hiyo mikorosho iliyopandwa majumbani mingi imepandwa kiholela basi naomba ambaye mkorosho wake upo karibu na nyumba na umepandwa bila kipimo husika aukate mara moja kuepusha madhara mengine makubwa”alisema



Mafuriko hayo yameharibu nyumba za watu 55, mashamba ya majumbani  na majeruhi 1 ambaye kwasasa amelazwa Hospitali ya Ndanda na hali yake anaendelea vizuri kwasasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa