• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA YASAINI MAKUBALIANO YA AWALI KUHUSU BIASHARA YA HEWA UKAA NA KAMPUNI YA CARBON FIRST

Posted on: April 17th, 2024

Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa waingia makubaliano ya awali na Kampuni ya Carbon First Tanzania Limited kwa kusaini hati ya makubaliano ya kufanya biashara ya hewa baina ya Kampuni hiyo na Halmashauri.


Makubaliano hayo yamefanyika leo April 17, 2024 katika Kikao cha kusainiwa kwa hati ya makubaliano ya kufanya biashara ya hewa ukaa kati ya Kampuni ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kilichofanyika katika ukumbi wa Ruangwa Pride Hotel.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe. Andrew Chikongwe amesema Halmashauri imekubali kuingia makubaliano ya awali na Kampuni ya Carbon First Tanzania Limited kwa kuona umuhimu wa biashara ya hewa ukaa katika Halmashauri kwani itasaidia kutunza mazingira kwa kutunza misitu ya vijiji na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, kupanga mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji, kuunda sheria ndogondogo za usimamizi wa misitu ya vijiji halikadhalika kukuza uchumi wa Halmashauri na Taifa kwa ujumla.


Aidha Mhe. Chikongwe ameendelea kusema kuwa baada ya makubaliano hayo ya awali Kampuni ya Carbon First Tanzania Limited itaendelea kutoa elimu kwa jamii vijijini kuhusu namna ya kutunza misitu ya vijiji itakayosaidia kukuza uchumi wa Halmashauri na uchumi mwananchi mmoja mmoja.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Ndugu Frank Fabian Chonya ameihakikishia Kampuni ya Carbon First Tanzania Limited kama Halmashauri wanaenda kusimamia ulinzi wa misitu ya vijiji ili kuhakikisha inasimama imara kiuchumi kupitia biashara ya hewa ukaa na bajeti inaenda kuongezeka kwani itanufaika kwa kupata faida ya 61% wakati huo Kampuni ya Carbon First Tanzania Limited inaenda kupata faida ya 39%.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa