• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Endeleeni kuchangia Maendeleo ya wilaya- Mhe Chikongwe

Posted on: September 14th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe. Andrea Chikongwe ametoa shukurani  kwa Wakulima  na wafanyabiashara wa wilaya  hiyo kwa kuendelea kuchangia, maendeleo  ya wilaya

Amesema hayo katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo 14/09/2021.


"Ukipita katika mitaa na vijiji vyetu utaona majumba mazuri, maduka na nyumba za kulala wageni vitu hivi vimetokana na juhudi  za baadhi ya wakulima na wafanyabiashara kiukweli tunatambua sana mchangao wao katika kuendeleza na kubadilisha  muonekano wa Ruangwa" amesema Chikongwe.

Vile vile ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupeleka umeme katika vijiji vyote vya wilayani hali inayopelekea kuwa na nyumba bora, nzuri na zenye umeme.

 Mhe Chikongwe amesema "Tunamshukuru Mbunge wa Wilaya ya Ruangwa kwa kutuleta miradi mbali mbali katika Wilaya  kuanzia sekta ya afya, elimu na maji".

"Tunamiradi mikubwa na mizuri katika wilaya yetu ila yote hii ni *ushawishi, ushirikiano na kazi kubwa anayoifanya* Mheshimiwa Mbunge tunashukuru sana kwa hili".

Vile vile Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa pamoja  limepongeza menejimenti ya Wilaya kwa kuongeza ukusanyaji wa mapato kupitia ghala la linalomilikiwa na Halmashauri.


Uongezekaji huu wa mapato umetokana na  kuanzishwa kwa ushirikiano na Wilaya ambazo vijiji vyao vimepakana na Wilaya ya Ruangwa kama  vile kilwa liwale na nachingwea, ushirikiano unaowezesha wakulima wa vijiji hivi  kupunguza gharama ya usafirishaji wa mazao yao kwa kuyauza kupitia ghala la Ruangwa.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa