• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Dkt, MwakyembeTunzeni utamaduni kwa maendeleo

Posted on: October 25th, 2018

Waziri wa Habari na Utamaduni Dkt Harrison Mwakyembe amewataka wananchi wa Lindi kutumia dhana ya utamaduni  ili kujikwamua kiuchumi na kuleta maendeleo.

Waziri Mwakiembe ameyasema hayo alipokuwa akifungua tamasha la utamaduni la watu wa mkoa wa lindi linalofanyika katika kijiji cha makumbusho jijini Dar es salaam leo 25/10/2018.

Mheshimiwa Mwakyembe alisisitiza wananchi wa lindi kujishughulisha na masuala ya utamaduni  kama vile kuhifadhi na kutunza maeneo ya kihistoria yatakayowavutia watalii kutoka maeneo mbalimbali.

“ Kwa kupitia utamaduni mtaweza kujikwamua kiuchumi amueni kufanya utamaduni kuwa ni chanzo cha kuleta maendeleo, pia nawapongeza kwa nia ya dhati kabisa na ninawasaa jamii nyingine kuinga mfano wa wanalindi katika kuenzi utamaduni” amesema Mwakyembe

Pia amesistiza kuwa wizara ya habari na utamaduni itaendelea kuunga mkono wadau wanaoshughulika na kazi ya kulinda na kutunza utamaduni  kwani taifa bila utamaduni ni sawa na taifa mfu.

“ suala la kutunza na kuendeleza utamaduni si suala la serikali tu ni wajibu wajibu wa kila mwananchi  kufanya hivyo hivyo tusaidiane kuendeleza na kukuza tamaduni zetu” amesema Mwakyembe.

Aidha waziri Mwakyembe amepongeza uongozi wa mkoa wa lindi kwa dhamira njema ya kufanya tamasha hili  la utamaduni na kuendeleza michezo pia alitoa pongezi kwa uongozi wa Wilaya ya Ruangwa kwa kujenga uwanja wa Majaliwa Stadium uliopo Wilayani humo.

Tamasha hili la utamaduni limeshirikisha wananchi wa Mkoa wa Lindi kutoka katika Wilaya zote 6 na  limebeba kauli mbiu isemayo Lindi utamaduni wetu, Urithi wetu kwa maendeleo pia litafanyika kwa siku 4 kuanzia 25-28/10/2018 katika kijiji cha Makumbusho.

Mwisho



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa