• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC NGOMA: MRADI WA VISIMA VYA UMWAGILIAJI UKAMILIKE KWA UBORA NA KWA WAKATI

Posted on: February 6th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, amemtaka mkandarasi kutoka kampuni ya JANIX CONSTRUCTION CO. LTD ya Iringa, anayetekeleza mradi wa uchimbaji wa kisima cha umwagiliaji katika Kijiji cha Nkowe, kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa ubora unaohitajika kulingana na masharti ya mkataba. Ameyasema hayo leo, tarehe 06 Februari 2025, katika hafla ya kukabidhi mradi rasmi kwa mkandarasi ili kuanza utekelezaji.


Mhe. Ngoma amesema kuwa mradi huu ni muhimu katika kuongeza uzalishaji wa mazao, kuboresha kipato cha wakulima, na kuimarisha usalama wa chakula katika eneo la Nkowe na maeneo jirani. Hivyo, amesisitiza kuwa ni lazima mkandarasi kuhakikisha kazi hiyo inatekelezwa kwa ufanisi na kuzingatia muda na viwango vya ubora vilivyokubaliwa.


Mradi huu unahusisha uchimbaji wa visima tisa (9) kwa awamu hii, ambapo visima vinne (4)vitachimbwa katika Halmashauri za Ruangwa, Mtama, Manispaa ya Lindi, na Kilwa, na visima vitano (5) vikichimbwa Mtwara. Utekelezaji wa mradi huu ulitangazwa kupitia zabuni, ambapo kampuni ya JANIX CONSTRUCTION CO. LTD ilishinda kandarasi kwa gharama ya TZS 408,870,000.00 (pamoja na VAT).


Meneja wa Mradi, Eng. Shamili Karama, ambaye ni Mhandisi Umwagiliaji wa Mkoa wa Lindi kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, amesema kuwa atahakikisha mradi unakamilika kwa ufanisi na kwa wakati kama unavyotakiwa, ili kuwawezesha wakulima kunufaika na rasilimali za maji kwa kilimo cha umwagiliaji.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa