• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC Mgandwila, Marufuku kuuza korosho kwa chomachoma

Posted on: October 11th, 2018

Wito umetolewa kwa wakulima kuacha kuuza korosho kwa njia ya chomachoma au kangomba na badala yake wakulima hao wametakiwa kusubiri mfumo wa stakabadhi ghalani utakaokuwa na tija kwao.


Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa ambapo amesema kuwa mfumo huo ni rafiki kwa mkulima kwani haumuibii mkulima kama wa chomachoma kwani mwaka jana kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani ufuta uliuzwa kwa shilingi 1600 kwa kilo moja wakati msimu huu umeuzwa hadi shilingi 3060 kwa kilo moja


" Serikali ya awamu ya tano inawajali sana imewaletea mfumo huu ambao unamsaidia mkulima ili muwe matajiri sasa nyie mnakimbilia chomachoma wenye umaskini, hivyo basi sitaki kusikia suala LA kangomba wala chomachoma na niseme tu nikikukamata utapata tabu sana ambapo nisipokukamata wakati unanunua nitakukamata wakati unasubiri kulipwa baada ya kupeleka ghalani" Amesisitiza Mgandilwa 


Pamoja hayo ni vema tukaonyesha imani yetu kwa taasisi za kibenki kwa kuweka fedha zetu katika mabenki kwani huko ni sehemu salama ya kuhifadhi pesa na ni dhana potofu kuamini kuwa benki itakuibia hivyo epukeni kuwaamini watu msiowajua kywatolea pesa bank na badala yake toeni na kuhifadhi pesa katika simu na sio kuweka pesa kama zilivyo majumbani kuepuka kuibiwa.


Aidha ameutaka uongozi wa kijiji cha Mbangara waliouza mashamba kutumia fedha hizo kwa shughuli za maendeleo  na kwamba wanapofanya shughuli ya kuuza mashamba washirikishe ofisi ya ardhi wilaya, na kwa upande wa walionunua mashamba kuwa na risiti halali za malipo huku akisisitiza viongozi hao kuwasomea wanakijiji taarifa za mapato na matumizi kwenye mkutano wa kijiji kabla ya tarege 30 mwezi huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa