• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC, Geuzeni Mapori ya Ruangwa kuwa Mashamba

Posted on: May 21st, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Joseph Mkirikiti amewataka wananchi wa Ruangwa kugeuza mapori yaliyopo Wilayani humo kuwa mashamba.


Amesema hayo wakati wa maonesho wa shamba  darasa la zao la alizeti yaliyofanyika katika kijiji cha Nandagala kata ya Nandagala iliyopo Wilayani Ruangwa.


Mheshimiwa Mkirikiti alisema hayo kutokana na eneo kubwa la Ruangwa kuwa ni mapori hali inayoonesha suala la ulimaji halifanyiki kwa kiasi kikubwa kama inavyotakiwa.


"Acheni kulalamika hali ngumu nawakati mnamaeneo makubwa na yakutosha hembu geuzeni hayo maeneo kuwa mashamba ya Alizeti muone kama kuna mtu atalalamika hali ngumu ya maisha” amesema Mkirikiti.


“Katika utawala wangu wa Wilaya hii sitovumilia suala la kukaa vijiweni, vijana mnakaa vijiweni badala ya kuandaa mashamba mkalima alafu mnalalamika hali ngumu nikikuta vijiwe visivyoeleweka navuvunjilia mbali” amesema Mkirikiti.


Amesema Mkuu wa Wilaya nguvu ya wakulima wanayoiweka kwenye zao la Korosho na Ufuta basi ihamishiwe kwenye zao la alizeti kwani zao hilo linasoko kubwa kama ilivyo korosho na ufuta.


Pia aliwaambia wakulima wa Alizeti changamoto walizozitaja safari hii mwakani hazitokuwa changamoto tena kwasababu watakuwa wamepata mauzo ya kutosha yatakayopelekea kutatua changamoto hizo.


“Msikate tamaa msiwe wanyonge siku zote mwanzo ni mgumu ila mwakani mkilima tena alizeti hizi changamoto hazitokuwepo hivyo jitahidini mkivuna muandae tena mashamba na uzuri wa alizeti ni kilimo cha miezi 3 tu”amesema Mkirikiti.


Naye Salum Lipei Mkulima wa zao la alizeti aliwataka wakulima wenzake kulima zao hilo kwa kisasa zaidi ili waweze kupata mavuno mengi yatakayopelekea kupata mafuta kwa wingi.


“Wakulima wenzangu hili zao linasoko la nje na ndani ya nchi hivyo tuzidishe juhudu ya kulima alizeti inatusaidia katika kupata mafuta na kuongeza kipato tujitahidi kuongeza ukubwa wa mashamba”amesema Lipei.


Nao wenye kikundi cha Chiepo ambao wamelima shamba lililofanyiwa maonesho walilishukuru shirika la AGHAKANI kwa kuwa bega kwa bega katik a kuwasaidia mpaka kufika hapo.


Kikundi kilisema AGHAKAN FOUNDATION imewasaidia kuwapatia elimu ya uzalishaji alizeti kwa njia ya kisasa na kuwaunganisha na wadau ambao waliweza kupata huduma za mbegu za kisasa.


Tumeanza kulima alizeti mwaka 2012 tulikuwa tunatumia mbegu za kizamani na hatukuwa na mafunzo ya uzalishaji wa kisasa ila kuanzia 2018  tunashushuru shirika la AGHAKANI limetuwezesha kupata vyote hivyo kwa urahisi.

MWISHO

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa