• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC: awataka wachimbaji wadogowadogo wa madini Kuwa na vitambulisho cha mjasiliamali

Posted on: June 10th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe Hashim Mgandilwa amewataka wachimbaji wote wa Madini wasio na leseni wala mkataba kutoka kwa waajiri wenye mgodi kununua Vitambulisho vya Mjasiliamali.

Ameyasema hayo siku ya tarehe 10/06/2019 alipofanya kikao katika Kitongoji cha Namungo kilichowajumuisha wachimbaji wadogowadogo na wachimbaji wenye leseni.

Katika kikao hicho Mheshimiwa Mgandilwa alisema kuwa kila mchimbaji anapaswa kutambulika na Serikali hivyo ni lazima kila kila mmoja wao anunue kitambulisho cha mjasiliamali.

*"Mnahitaji kupata mikopo ya muda mrefu kama mlivyosema, sasa ili kutambulika mnapaswa kununua vitambulisho kusudi taasisi za kifedha ziweze kuwatambua.”*

*“ninatoa wiki mbili mpaka tarehe 26 kila mchimbaji mdogo ahakikishe anafauata utaratibu wa kununua kitambulisho hiko kama anaitaji kufanya kazi katika mgodi huo " alisema.*

Sambamba na hilo Mheshimiwa Mgandilwa wamewataka wachimbaji wote wenye migodi kufanya kazi na wachimbaji wadogowadogo ambao watakuwa na vitambulisho vya mjasiliamali.

Vilevile katika kikao hiko hiko Mkuu wa Wilaya aliiagiza kamati ya ujenzi wa zahanati ya Namungo kuandaa taarifa ya makusanyo na matumizi ya fedha zilizochangwa na wananchi kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ambayo mpaka sasa aijakamilika.

Alisema kwamba ni wajibu kwa kila kamati kusoma mapato na matumizi ya fedha zilizokusanywa, na ifikapo tarehe 26 atakuja kusikiliza taarifa, na kama ikibainika kuna ubadhilifu, wajiandae kurudisha fedha za wananchi.

Jophery Amani ambaye ni  mchimbaji mdogo aliiomba serikali kuwasaidia kupata mikopo ya muda mrefu ili iweze kuwasidia kuendeleza kazi zao.

Vilevile aliomba suala la zana za milipuko zinazotumika katika kazi za uchimbaji  ziwe zinapatikana karibu kwani sasa wanachukia zana hizo morogoro hali inayopekelekea kuna muda kuchelewa kwa kazi zao.

*MWISHO*

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa