• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC Mgwandilwa, Acheni kufanya kazi kwa mazoea

Posted on: August 7th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa mheshimiwa Hashim Mgandilwa amewataka watumishi ya Wilaya ya Ruangwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea mara moja na kutoa huduma kwa wananchi kama wanavyotakiwa.


Ameyasema hayo leo 07/08/2018, wakati wa kikao chake na watendaji wa kata, Wazee wa dini, Waratibu Kata na Wakuu wa Idara ,kilichofanyika katika ukumbi wa Narungombe mjini Ruangwa.


Mheshimiwa Mgandilwa aliwataka watumishi kuwathamini na kuwahudumia wananchi kwani wao ndiyo wanaowafanya watumishi kuajiliwa na serikali hivyo ni wajibu wao kuwatumikia.


“Hakuna kiongozi anaependa kutumbua na ninaomba tusifike huko kila mmoja afanye kazi kama ambavyo majukumu yake namtaka kwani sitoweza kuvumilia mtumishi anayeshidwa kutimiza wajibu wake kwa makusudi kabisa” amesema Mgandilwa.


Anayeona anashidwa kwenda na kasi ya serikali ya awamu ya tano naomba ajiondoe mapema ampishe mtanzania mwingine anaeweza kufanya kazi kwa bidii na wapo watu wa hivyo.


Pia aliwataka wananchi pamoja na watumishi wa Ruangwa kumpa ushirikano wa kutosha ili kuiimarisha Ruangwa kwani yeye kaja kushirikiana na kuwahudumia wanarungwa,


“Siwezi kusimama mwenyewe katika kufanya mambo ya kimaendeleo katika Halmashauri yetu nishikeni mkono na mie nitawashika mkono ili iwe rahisi katika kuwatumikia wananchi na kuiendeleza Ruangwa” amesema Mgandilwa.


Vile vile aliwataka wakuu wa idara na Vitengo kuhakikisha kila idara inabuni chanzo kipya cha mapato kwani makusanyo ya sasa ya mapato ya ndani ni madogo na hayaridhishi.


“Naona dalili ya siye kuhamia Halmashauri ya Nachingwea kutokana na makusanyo haya madogo tunayokusanya kwani halmashauri itakayoshidwa kujiendesha itavujwa na kwa mahusanyo haya tunaweza kuhamia Nachingwea sasa kuepusha haya kila Mkuu wa idara abuni chanzo kipya cha mapato” amesema Mkuu wa Wilaya.


Naye Katibu Tawala wa Wilaya Twaha Mpembenwe alimkaribisha Mkuu huyo wa Wilaya mpya Mheshimiwa Hashim Mgandilwa aliyeshika nafasi ya Mkuu wa wilaya Joseph Mkirikiti aliyehamishiwa Wilaya ya Hanang.


“Nikuhakikishie kuwa Wanaruangwa watakupa ushirikano wa kutosha karibu sana Ruangwa jisikie kama upo nyumbani sina mashaka na wanaruangwa wenzangu kwa upande wa ushirikiano” amesema Mpembenwe.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa