• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Chanjo ya Surua Rubella na Polio si hiyari ni lazima-DC Mgandilwa

Posted on: October 2nd, 2019

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa amewataka Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa kujitokeza kwa wingi kupeleka watoto katika zoezi la chanjo litakalofanywa kuanzia tarehe 15/10- 19/10/2019.

Mhe. Mgandwila amesema hayo leo tarehe 02/10/2019 wakati wa kikao maalumu cha kamati ya Afya ya msingi(PCH)  kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya 


Mhe. Mgandilwa amesema zoezi hilo litakuwa na chanjo ya aina mbili chanjo ya surua Rubella na chanjo ya Polio sindano ambayo itatolewa katika maeneo yote ya Ruangwa.

“Zoezi hili litawahusu watoto wote wenye umri wa miezi 9 hadi chini ya miaka 5 kwa chanjo ya surua na chanjo ya polio ya sindano itawahusu watoto wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka tatu na nusu”



Mkuu wa Wilaya aliendelea kusisitiza kuwa chanjo hizo zina lengo la kitaifa la kupambana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo ambayo ni surua Rubella na Polio ambayo itakuwa na lengo la kuongeza kinga kwa watoto wote hata kama wameishapata huduma za chanjo kwenye vituo vya Kutolea huduma za afya.

Aidha Mhe. Mgandilwa alisema huduma hii inatolewa bure katika maeneo yote hivyo ni wajibu wa kila mzazi kupeleka mtoto katika sehemu husika itakayokuwa inatolewa huduma hiyo.

Pia amewataka watu watakaopewa dhamana ya kutoa huduma hiyo basi kuifanya kwa weledi na kwa uaminifu kama ambavyo wanatakiwa.

Vile vile Mganga Mkuu wa Wilaya dr Mahile njile aliwaomba viongozi katika ngazi za kata na vijiji kuwasaidia kuhamasisha wananchi ili kila mwananchi apate nafasi ya kumpatia mtoto wake chanjo hiyo.


“Naomba viongozi wa siasa na madiwani mtusaidie kufuatilia zoezi la chanjo itakapotolewa kama watoto katika eneo hilo wote wamepata chanjo hiyo maana ni wajibu kila mtoto aliye chini ya umri wa miaka tano kupata kinga hiyo.

Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa kushiriana na Wizara ua Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo inategemea kufanya kampeni ya kitaifa ya kutoa chanjo hizo za aina 

MWISHO


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa