• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Changieni Namungo FC wanaruangwa -DC Mgandilwa

Posted on: May 5th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hashim Mgandilwa amewataka wanaruangwa kuwa na utamaduni wa kusaidia timu ya Namungo Fc iliyonamakazi yake Ruangwa mjini.

Amesema timu ya Namungo inaendeshwa kwa misaada ya wananchi ila kumekuwa na kusua sua michango kutoka wakazi wa Ruangwa kiujumla.

Amesema hayo leo Mei 5/2019 wakati wa halfa ya kuipongeza timu ya Namungo Fc ambayo imefuzu katika michuano ya ligi kuu ya Tanzania bara iliyofanyika katika kitongoji cha Namungo kilichopo katika kata ya Mbekenyera kijiji cha Chingubwa Wilaya ya Ruangwa.

"tusiwaachie watu  wa nje pekee yao kutuchangia tunapaswa tuoneshe mfano na si lazima uchangie kiasi kikubwa hata iwe shilingi 1000 inapokelewa changieni timu yenu kwenye akaunti husika kwani  uzalendo kwanza" amesema Mgandilwa

"Niwahakikishie kila mtu wa Ruangwa atacheza kwa wakati ili kufanikisha tunafuzu mashindano hayo na huko hatuendi kushiriki tunaenda kushinda kwenye mashindano hayo" akisisitiza Mkuu wa Wilaya

Pia alisema sasa kuna timu ya Namungo ambayo ipo Wilayani Ruangwa  hakuna sababu ya kushangilia timu nyingine  uzalendo kwanza tuache timu zetu za zamani tuhamishie mapenzi kwa Namungo na tuendele kwenda kuishaingilia timu yetu kila inapocheza kama tulivyofanya msimu wa ligi iliyopita.

Aidha aliwaasa wachezaji kuwa mpira ni ajira wanakila sababu ya kuhakikisha nidhamu, kujituma na ushirikiano unatawala kati yao.

" Hakuna mafanikio yanayokuja bila kujituma hamuwezi kupanda bila jitihada mpira ni ajira yenu muipende na kuithamini mtafika mbali " amesema Mgandilwa.

Naye Naibu mwenyekiti wa timu Francis Mwingila ametoa shukurani kwa  Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Mheshimiwa Kassim Majaliwa kwa msaada aliokuwa anautoa kwa  timu tangu inaanza mpaka ilipofikia

Vilevile bwana Mwigila aliishukuru ofisi ya  Mkuu wa Wilaya na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa ushirikiano walioutoa wa ndani na nje kwa wachezaji wa timu hiyo.

MWISHO









Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa