• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

CHAGUA NJIA SAHIHI TOKOMEZA UKIMWI

Posted on: December 2nd, 2024

Kinara wa Mfumo wa Watumishi Portal Mkoa wa Lindi, Ndugu Mohamed Chilemba, ametoa mafunzo kwa Walimu Wakuu, Wakuu wa Shule, na Maafisa Elimu Kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa leo 02 Decemba 2024 katika bwalo la shule ya sekondari Ruangwa, ili kuwaimarisha katika matumizi ya Mfumo wa Watumishi Portal, hatua inayolenga kuboresha utendaji kazi na ufanisi katika sekta ya elimu.


Mafunzo hayo yamejikita katika sehemu ya e-Utendaji (Watumishi), hususan kipengele cha Tathmini ya Utendaji wa Mtumishi (Assessment), ambacho ni muhimu kuelekea zoezi la tathmini ya utendaji kwa watumishi wa kada ya ualimu linalotarajiwa kuanza hivi karibuni. Aidha, Ndugu Chilemba amewahimiza washiriki kuhakikisha wanatumia mfumo huo kikamilifu ili kuondoa dosari za kiutendaji na kuboresha utoaji wa huduma kwa jamii.


Hata hivyo, katika mafunzo hayo, Ndugu Chilemba ameweka msisitizo maalum juu ya kuwasilisha changamoto zinazojitokeza mapema kwa ajili ya kupata suluhisho. Amesema kuwa mfumo huu ni nyenzo muhimu ya kuboresha uwajibikaji na uwazi kwa watumishi wa umma, na mafanikio yake yanategemea ushirikiano wa karibu kati ya watumishi na viongozi wao.


Vile vile, amewapongeza Walimu Wakuu, Wakuu wa Shule, na Maafisa Elimu Kata kwa kushiriki katika mafunzo hayo, akibainisha kuwa ari yao inaonesha dhamira ya dhati ya kuboresha elimu katika Wilaya ya Ruangwa, huku akisisitiza kwamba mfumo huo utaimarisha usimamizi wa watumishi wa umma, hasa katika kufuatilia na kutathmini maendeleo ya kiutendaji ya kila mtumishi.


Washiriki wa mafunzo hayo wamepongeza juhudi za Kinara huyo, wakisema kuwa mafunzo hayo yamewawezesha kupata uelewa wa kina kuhusu matumizi ya mfumo huo, wameeleza kuwa mfumo wa Watumishi Portal ni zana muhimu katika utumishi wa umma.


Ikumbukwe, Mafunzo hayo ni sehemu ya jitihada za Serikali katika kuboresha mifumo ya kidijitali kwa watumishi wa umma, kwani yanachangia kuhakikisha kuwa watumishi anapimwa utendaji kazi wao kwa wakati, kwa uwazi, na kwa viwango vinavyostahili ili kuchangia maendeleo ya taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa