• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

BOT YAENDESHA SEMINA YA UWEKEZAJI KATIKA MASOKO YA DHAMANA ZA SERIKALI RUANGWA

Posted on: September 19th, 2024

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeendesha semina ya kipekee ya uwekezaji kwenye masoko ya dhamana za Serikali, ikilenga kutoa elimu kwa makundi mbalimbali kuhusu fursa na umuhimu wa masoko hayo kwa uchumi wa Taifa, semina hiyo imefanyika leo, Septemba 19, 2024, katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa.


Mafunzo hayo, yameongozwa na Simon Kessy, Meneja Msaidizi wa Fedha na Utawala kutoka BOT, huku yakiwaleta pamoja watumishi wa umma, wastaafu, na wadau wengine muhimu ili kuwapa maarifa ya namna wanavyoweza kushiriki katika masoko ya dhamana za Serikali, yenye faida kwa uwekezaji wa muda mrefu.


Aidha, katika maelezo yake Kessy amesisitiza kuwa uwekezaji kwenye dhamana za Serikali sio tu njia salama ya kuweka akiba, bali pia ni njia nzuri ya kuongeza mapato na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Amefafanua jinsi wananchi wanavyoweza kushiriki kwenye masoko hayo kupitia mifumo rasmi kama Benki Kuu na taasisi za fedha zilizoidhinishwa.


Kwa upande wao, washiriki wa semina hiyo wameipokea vyema, wakionesha shauku kubwa ya kujifunza na kushiriki katika uwekezaji huo. Akizungumza katika mafunzo hayo Mzee Mohamed Issa amesema “wastaafu na watumishi wa umma wanahitaji mafunzo ya mara kwa mara ili waweze kunufaika na fursa kama hizi, ambazo awali zilikuwa hazijulikani kwa wengi, japo mimi ni moja ya washiriki wa hisa za mwanzo kabisa wakati bado zikiitwa vipande, natumaini kwa kipindi hiki masoko haya yameboreshwa zaidi kuliko kipindi tunaanza”. Amesema Mzee Issa


Tangu zamani, elimu juu ya masoko ya dhamana za Serikali imekuwa changamoto kwa wananchi wengi, hasa maeneo ya vijijini. Hata hivyo, juhudi za sasa za BOT zinaonesha matumaini mapya, huku lengo likiwa ni kuhakikisha watu wa kawaida wanashiriki katika uchumi wa nchi kupitia uwekezaji huu. Ili kufanikisha hili, serikali inapaswa kuendelea kutoa semina zaidi, kuongeza upatikanaji wa taarifa, na kuimarisha ushirikiano kati ya BOT na taasisi za kifedha ili kuwafikia wananchi wengi zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa