• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Baada ya 31/03/2019 nitaanza kuwachukulia hatua za kisheria watoto watoro, wazazi- Mgandilwa

Posted on: January 26th, 2019

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hashim Mgandilwa  siku ya tarehe 26/2019  wakati wa kikao cha wadau wa elimu kilichofanyika mjini Ruangwa katika ukumbi wa Narungombe pub.

Mhe. Mgandilwa amesema ataanza kuwachukulia hatua za kisheria watoto watoro pamoja wa wazazi wao baada ya tarehe 31/03/2019 na hatua hizo zitaanza baada ya kusajiliwa kwa mahakama tembezi( mobile court) ambayo atakuwa anatembelea kila kata kila kijiji ndani ya Wilaya kwani  Mahakama hiyo mpaka kufikia tarehe 31 mwezi huu itakuwa ishaanza kazi.  

"Wazazi anzeni kutimiza wajibu wenu kwani mahakama hii ikianza Sitokuwa na msamaha, mzazi atapigwa faini ya laki sita akishindwa atapata kifungo cha miezi mitatu na mtoto ataadhibiwa bakora zitakazotolewa na hakimu" 

"Na nyie watoto wenye utoro wa rejareja nawapa salamu zangu hili suala nitalimaliza na nitahakikisha kila mwanafunzi  anamaliza kidato cha nne nitakomesha utoro na hali ya watoto kuacha shule" alisema Mgandilwa

Mkuu wa Wilaya aliongeza kuwa hatahakikisha watoto walioanza shule mwaka huu na walioanza mwaka jana na mwaka juzi wanamaliza kidato cha nne, hataki kusikia watoto wanaoishia njiani kwenye masomo  katika Wilaya yake.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe. Rashidi Nakumbya  amewataka wadau wa elimu kuyafanyia kazi maazimio yote ya kikao kama walivyokubaliana na ametaka mikakati yote iliyopangwa ikatumike, na idara husika iifuatilie  ili kubadilisha hali mbaya ya ufaulu katika Wilaya la Ruangwa.

"Hizi aibu ziwe na mwisho na mwaka jana ndiyo mwisho mikakati inayowekwa ifanyiwe kazi na si panga mambo alafu amyatekelezi"

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Andrea Chezue amewataka walimu kujitahidi kutimiza wajibu wao katika maeneo yao ya kazi na pia ameagiza kuanzia mwezi wa pili Idara ya Elimu kupita katika shule zote zilizopo Wilaya ya  Ruangwa ili kufuatilia mikakati ambayo shule imejiwekea kubadili hali ya ufaulu.

"Serikali tutatimiza wajibu wetu na nyie timizeni wajibu wenu na shirikianeni  na wazazi ili tufanikiwe  kupandisha hali ya ufaulu. Mwaka 2019  uwe mwaka wa mwisho kufanya vibaya " alisisitiza Chezue

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa