• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

ASILIMIA 54%PEKEE KAYA ZENYE VYOO RUANGWA

Posted on: October 17th, 2022

Asilimia 54% ya kaya wilaya ya Ruangwa yatajwa kuwa zenye vyoo  takwimu ambazo zimekua mbaya Sana Hali ambayo inapelekea serikali kutumia rasilimali kubwa Sana ya fedha kutumika katika uagizaji wa madawa ya kuzuia magonjwa ya kuharisha.

Hayo yamebainishwa na mganga mkuu wa wilaya ya Ruangwa Dr.Salivio Wikes katika kikao kilichofanyika Leo wilayani hapa DMO Wikes amesema takwimu hizo ni mbaya mno kwani ni Kwa wenye vyoo na vikihesabiwa vyoo Bora takwimu zinaweza shuka zaidi kupitia hayo amewaomba watendaji kuendelea kampeni kuhamasisha ujenzi wa vyoo katika maeneo Yao

"Mkuu wa mkoa alisema wilaya yetu ni ya mwisho na hataki kuona wilaya yetu inakua ya mwisho katika matumizi ya vyoo akasema hii Hali hataki kuiona katika Sensa,chanjo nimeona katika maeneo yetu vyoo hakuna"

  Hata hivyo mkuu wa wilaya ya nachingwea Hashimu Komba akikaimu DC Ruangwa ameonesha kusikitishwa na Jambo Hilo huku akiwakumbusha watendaji kuwa vyoo Bora si Jambo la kukumbushwa"mmevaa vizuri mmependeza watuwenu wanajisaidia nje VEOs pamoja na WEOs shughulikieni Hilo si la mpaka DC atoe tamko au halimashauri iandike barua kuwaambia"DC Komba

Aidha  Mtendaji wa kata ya chienjele Reisia Subiria amesema katika kata yake wameanza kuchukua hatua  Kwa mpango Kazi ambao umewekwa na wameanza na kijiji cha chienjele hivyo wanaendelea na vijiji vingine na mwananchi ambae hatekelezi hatua zinachukuliwa. Naye Matokeo Mbung'o ambae ni Mtendaji kata ya narung'ombe amesema narung'ombe ina vijiji viwili narung'ombe na liuguru lakin liuguru imekua ni kijiji Chenye changamoto na Kwa mara kadha wananchi wamekua wakifikishwa kwenye vyombo vya Sheria Kwa watu kuchimba mashimo Tu ya vyoo bila kutengeneza vyoo vya kusitiri

  "tuna kampeni ya kuondo nyasi kwenye vyoo tunaendelea nayo katika kata yetu ili kupata vyoo vyenye kusitiri"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa