• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Acheni kusaini mikataba bila kufuata utaratibu wa kisheria-DC Mgandilwa

Posted on: June 12th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe, Hashim Mgandilwa ameziagiza Serikali za vijiji kuacha kuingia mikataba na watu kabla ya kuifikisha katika Ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kupitiwa, kwani kukiuka kufanya hivyo mikataba yote itakayosainiwa itakuwa  ni batili.

Mhe. Mgandilwa ametoa agizo hilo siku ya tarehe 12/06/2019 kwenye kikao alichokiitisha na Watendaji wa vijiji , Wenyeviti wa Vijiji na viongozi wa vyama vya Ushirika kilichofanyika ofisi kwake ambapo kabla ya kikao hicho alifanya ziara ya kushitukiza katika Maghala ya kuhifadhia mazao na kukuta baadhi ya magunia ya zao la Ufuta yako nje.

"Kata na Vijiji ambavyo mmeingia mkataba na watu bebeni mikataba hiyo muipeleke kwa Mwanasheria wa Halmashauri aiangalie upya kama ni mikataba halali au la"

Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya ameagiza viongozi hao kuanza kuingia mikataba na vyama vya ushirika kabla awajaingia mikataba na watu binafsi au mashirika kama walivyofanya sasa.

Akiongea katika kikao hicho, Mhe Mgandilwa amewaagiza viongozi wa kata na vijiji kuacha kuvitoza vyama vya ushirika fedha za gharama za kupanga kwani vyama hivyo vinapaswa kuchangia na si kupangishwa ghala na amevitaka vyama vya ushirika kulipa madeni wanayodaiwa na serikali za vijiji.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Ndg. Mohammed R. Muhidini amewataka watumishi wa umma kufuata sheria na taratibu katika kata zao na si kujiamulia.

Pia alitoa msitizo kwa viongozi hao wa serikali ya vijiji kupeleka mikataba yote iliyosainiwa katika ofisi za serikali ya kijiji ifike ofisi ya Mkurugenzi uharaka iwezekanavyo ili iangaliwe uhalali wake.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa