• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Utaratibu wa Ujazaji wa Fomu za Bima ya Afya (NHIF)

Utaratibu wa ujazaji wa Fomu za Bima ya Afya (NHIF).

Idadi ya watu wanaotakiwa kujazwa kwenye fomu ya bima ya afya ni 16 kwa mtiririko ufuatao;

ØMchangiaji mwenyewe na mwenza wake(mke au mme)

ØFaili ya watoto wasiozidi 4 chini ya miaka 18,au wazazi/wakwe katika idadi hiyo ya watu wane(40 maana unaweza ukawajaza watoto wawili(2) na wazazi (2).

1. VIAMBATANISHO

vMchangiaji:

1.Hati ya kupokelea mshahara(salary slip) yenye makato ya bima ya afya.

2.Picha zenye ukubwa wa pasipoti(passport size) moja ya hivi karibuni.

vMwenza(Mke au mme)

1.Nakala ya cheti cha ndoa (copy)

2.Picha zenye ukubwa wa pasipoti(passport size) moja ya hivi karibuni.

vWatoto:

1.Nakala ya Vyeti vya kuzaliwa(copy).

2. Picha zenye ukubwa wa pasipoti(passport size) moja ya hivi karibuni.

vWazazi:

1.Cheti cha kuzaliwa cha mchangiaji (mtumishi).

2 Picha zenye ukubwa wa pasipoti(passport size) moja ya hivi karibuni

vWakwe:

  1. Cheti cha ndoa
  2. Picha zenye ukubwa wa pasipoti(passport size) moja ya hivi karibuni

•Kuongeza mtegemezi:

Viambatanisho ni vilevile saraly slip,picha pasporti size na nakala ya cheti cha kuzaliwa.

Utalipia benki Tzsh 20,000/=kwa kila kadi iliyopotea kwa akaunti namba 61010016954 yenye jina Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

Baada ya hapo utamwona Mratibu ukiwa na loss Report ya polisi,pay slip ya benki uliyolipia na picha passport size ili ujaze fomu nyingine uweze kupata kadi nyingine.

üKwa wastaafu:

Viambatanisho

1.Nakala ya kibali cha kustaafu

2.Unarudisha kodi ulizopewa pamoja na wategemezi wako.

3.Picha yako passport size pamoja na ya mwenza wako ya hivi karibuni ili uandaliwe kadi nyingine.

4.Kama kuna kadi zimepotea kati ya kadi sita(6) ulizopewa,utaripoti kwa mratibu wa Bima ya Afya au Afisa Utumishi ili uandikiwe barua ya kwenda nayo polisi.

 DR JOSHUA KILEO 0786511418/ 0714599144

MRATIBU WA BIMA YA AFYA(W) RUANGWA

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA KATIBU MAHSUSI NA MTENDAJI WA KIJIJI June 26, 2022
  • Tangazo la uuzaji mahindi ya bei rahisi March 19, 2020
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI 23/ 08/2022 May 31, 2022
  • TANGAZO LA KUTAFUTA FUNDI UJENZI SHULE YA MPYA YA SEKONDARI KITANDI September 24, 2021
  • Ona zote

Habari mpya

  • SHULE YA MSINGI LIKUNJA KUJENGWA MADARASA 5 NA OFISI 2 ZA WALIMU.

    March 21, 2023
  • DC RUANGWA ASISITIZA UKUSANYAJI MAPATO

    March 01, 2023
  • NIMEFURAHISHWA NA MIRADI YA KIMAENDELEO - MAJALIWA

    February 22, 2023
  • SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI-MAJALIWA

    February 21, 2023
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa