• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Utaratibu wa Kutoa Shahada ya Dahrura ya Safari ya Njea ya Nchi

Utaratibu wa kutoa Shahada ya Safari ya Dharura.

Muombaji aliye chini ya miaka 35(1980+).

Muombaji wa Hati ya Dharura (ETD)aliye chini ya umri wa miaka 35 anatakiwa alete hati zifuatazo

Waombaji wa Shughuli binafsi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Cheti cha Kumalizia Shule.

3.Ubatizo.

4.Leseni za udereva.

5.Hati ya Biashara.

6.Barua ya mwajiri kwa walioajiriwa na kitambulisho cha kazi.

7.Barua ya Mwenyekiti wa Mtaa kwa utambulisho wa makazi.

8.Kadi ya Kura.

9.Kitambulisho cha Taifa.

10.Kitambulisho cha ukaazi.

Waombaji kwaajili ya Matembezi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Cheti cha Kumalizia Shule.

3.Ubatizo.

4.Leseni za udereva.

5.Hati ya Biashara.

6.Barua ya mwajiri kwa walioajiriwa na kitambulisho cha kazi.

7.Barua ya Mwenyekiti wa Mtaa kwa utambulisho wa makazi.

8.Kadi ya Kura.

9.Kitambulisho cha Taifa.

10.Kitambulisho cha ukaazi.

Waombaji kwaajili Wanafunzi;

1.Cheti cha Kuzaliwa.

2.Barua ya shule au chuo na kitambulisho cha mwanafunzi.

3.Barua ya udahili(wito)

4.Kitambulisho cha Taifa.

Kwa waombaji walio chini ya miaka 18 watatakiwa kuleta barua ya idhini ya mzazi au mlezi halali pia barua ieleze madhumuni ya safari na namba ya simu ya mzazi au mlezi.

Fika ofisi ya Uhamiaji katika jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya utahudumiwa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 14, 2022
  • MATOKEO USAHILI WA KUANDIKA YA NAFASI ZA KAZI April 20, 2022
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA May 25, 2018
  • matokeo ya kidato cha nne 2018 January 24, 2019
  • Ona zote

Habari mpya

  • Veta imetoa mafunzo ya ufugaji kuku na samaki ruangwa

    May 19, 2022
  • samaki

    May 19, 2022
  • samaki

    May 19, 2022
  • Tumieni mafunzo katika kujikwamua kiuchumi

    May 18, 2022
  • Ona zote

Video

RAIS MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA FLY OVER UBUNGO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa