• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Utawala na Rasilimali Watu

   



              


                                                 Mkuu wa Idara Ya Utawala Ndg: Mohamedi Muhidi    

IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI

  •  MALENGO YA IDARA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA 

Idara hii ina Malengo yafuatayo katika Utoaji huduma

  • Kuhakikisha Misingi ya Utawala Bora inatekelezwa katika Halmashauri.
  • Misingi hiyo ya Utawala Bora ni kama ifuatavyo:-
  • Utawala wa Kidemokrasia
  • Utawala wa Sheria
  • Ushirikishwaji wa Umma
  • Haki na Usawa kwa Watu wote
  • Uwajibikaji katika Utendaji
  • Uwazi katika uendeshaji Shughuli
  • Uadilifu
  • Kukidhi matakwa ya Wananchi.

( b) Kuhakikisha Halmashauri inapata Watumishi bora wanaohitajika katika sekta zote za kutoa huduma kwa Wananchi ,kama vile Sekta ya Afya, Sekta ya Elimu na Sekta ya Kilimo.

Watumishi hao wawe na Maadili ya Utendaji yafuatayo:-

  • Kutoa Huduma Bora
  • Utii kwa Serikali
  • Bidii ya Kazi
  • Kutoa huduma bila Uperndeleo
  • Kufanya kazi kwa Uadilifu
  • Kuwajibika kwa Umma
  • Kuheshimu Sheria
  • Matumizi sahihi ya Taarifa.
  •  VITENGO VILIVYOPO KATIKA IDARA NA MAJUKUMU YAKE:
  • Idara hii ina Vitengo viwili. Vitengo hivyo ni
  • Utawala
  • Utumishi.
  • Majukumu ya Vitengo
  • Majukumu ya kitengo cha Utawala ni kuratibu Shughuli za Utawala Bora kwa Wananchi.
  • Kusimamia ufanyikaji wa Vikao vya kisheria katika ngazi ya Halmashauri, Kata na Vijiji.
  • Katika Halmashauri Kitengo kinasimamia ufanyikaji wa Vikao vya Kamati za Kudumu za Halmashauri na Mikutano ya Baraza la Madiwani.
  • Katika ngazi ya kata idara inasimamia ufanyikaji wa Vikao vya Kamati za Maendeleo za Kata.
  • Katika ngazi ya Vijiji idara inasimamia ufanyikaji wa Vikao vya
  • Halmashauri za Vijiji na Mikutano mikuu ya Vijii. Mikutano mikuu ya Vijiji inafanyika kila robo Mwaka na Taarifa ya Mapato na Matumizi inatakiwa isomwe katika Mikutano hiyo ya Kawaida ya Vijiji.
  • Majukumu ya kitengo cha Utumishi ni kushughulikia Masuala ya Ajira, ,Stahiki za Watumishi na ,Mafunzo ya kuwajengea uwezo Watumishi wa Umma.
  • Pia kitengo hiki kinasimamia Nidhamu za Watumishi wa Umma katika Halmashauri.

3 MAJUKUMU YA IDARA

( a) Kuratibu Shughuli za utawala Bora katika Halmashauri .

Idara inasimamia Ufanyikaji wa Vikao vya Kisheria katika ngazi za

Halmashauri, Kata na Vijiji.

(b) Kusimamia Ajira za Watumishi katika Halmashauri.

Idara inahakikisha Watumishi wenye Weledi, Sifa na Wenye uadilifu wanapata

nafasi ya kuajiriwa katika nafasi zenye mahitaji katika Halmashauri,

( c ) Kushughulikia Maslahi ya Watumishi ili waweze kutoa huduma bora kwa

Wananchi.

(d ) Kushughulikia Mafunzo kwa Watumishi ili kuwajengea uwezo wa kutoa

huduma bora kwa ufanisi.

(e) Kusimamia na kushughulikia masuala ya nidhamu ya Watumishi.

4: AINA ZA HUDUMA MUHIMU ZINAZOTOLEWA KWA JAMII MARA KWA MARA

( a ) kusimamia ufanyikaji wa vikao vya kisheria vya Halmashauri ya wilaya.

(b) Kusimamia Ufanyikaji wa vikao vya Halmashauri za vijiji na Mikutano mikuu ya

Vijiji kwa mujibu wa Sheria

( C) Kupokea Malalamiko na maoni mbalimbali ya Wananchi na kuyafanyia kazi.

(d) Kusimamia Utekelezaji wa Sheria ndogo katika ngazi ya Halmashauri ,,kata na

vijiji.

(e) Kuhakikisha Watumishi wanatoa huduma Bora kwa Wananchi.

 

5; IDADI YA WATUMISHI KWA MAJINA NA NAMBA ZAO ZA SIMU

Idara ya Utumishi na Utawala ina Watumishi 151,. Kati ya Watumishi hao, watumishi 24 wapo makao makuu na Watumishi 127 ni watendaji kata na Watendaji Vijiji ambao wapo katika kata 22 na vijiji 90 vya Halmashauri.

  • Mkuu wa Idara :
  • Mohamed R. Muhidini Simu : 0787658528/0658658528
  • Maafisa Utumishi :
  • 1. Nawile Maokola 06229967270/0713423699

2 Odilia Marenga 0742492375/0673327567

3 Renalda Mbilinyi 0765286167/0717349825

4, Frank Mhagama. 0714545377

  • Afisa Malalamiko wa Halmashauri

1. Yasinta Lupenza Simu Na: 0764722627/0673482852

  • Afisa Uchaguzi : 1. Yusuf Chilumba Simu Na: 0754520960

6: MIONGOZO NA SERA MBALIMBALI INAYOTUMIWA NA IDARA NA VITENGO

 KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YA KILA SIKU.

  • Sheria ya Serikali za Mitaa(Mamlaka ya Wilaya) Namba 7 ya mwaka 1982.

(ii) Sheria ya Utumishi wa Umma , Namba 8 ya Mwaka 2002.

  • Sheria ya Fedha za Serikali za mitaa, Namba 9 ya Mwaka 1982

(iv) Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 ya Mwaka 1999

(v ) Sheria ya Mabaraza ya Kata Namba 7 ya Mwaka 1985

  • Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Namba 4 ya Mwaka 1979

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZOTE ZA WILAYA YA RUANGWA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA May 25, 2018
  • Tangazo la ujenzi wa hospitali ya Wilaya wodi ya wazazi January 21, 2019
  • matokeo ya kidato cha nne 2018 January 24, 2019
  • Ona zote

Habari mpya

  • DC awataka watendaji kukamilisha miradi ya elimu

    December 24, 2020
  • Wafugaji acheni ubabe- Mhe Ndaki

    December 22, 2020
  • RC aagiza kumalizwa kwa mgogoro wa aridhi Mbute na Nangurugai

    December 17, 2020
  • DC Afanya ukaguzi wa vyumba vya madarasa mapya

    December 16, 2020
  • Ona zote

Video

RAIS MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA FLY OVER UBUNGO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa