Posted on: December 17th, 2020
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe, Godfrey Zambi amewataka Wakuu wa Wilaya ya Ruangwa na Nachingwea kumaliza mgogoro wa aridhi kati ya kijiji cha Nagurugai na Mbute
Ametoa agizo hilo tarehe 17/12/2020 kwen...
Posted on: December 16th, 2020
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe, Hashimu Mgandilwa amewataka viongozi wa vijiji kusimamia zoezi la upelekeaji maji na usombaji mchanga katika maeneo madarasa mapya yanajengwa kwa ajili ya wanafunzi ...
Posted on: December 15th, 2020
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Albert Mwombeki amepokea msaada wa vifaa vya walemavu kutoka katika Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC).
Amepokea vifaa hivyo tarehe 15/12...